Wanawake wanajua kudeka we acha tu!

<br />
<br />
daah! Nafuu umewaeleza

Jamani mtambuzi umeoa? Namuonea wivu mkeo. Maana mijinaume mingine haiju hayo yote
imekalia kutesa tuu watoto wa watu.

Bado sijaoa.......
Naomba unisaidie kutafuta mke mwema atakayenifaa maishani
 
mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol&lt;br /&gt;<br />
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
hahahahhaaa!!
Ask for 100 things, do 10, you will still get his attention!
 
Kweli inabidi mtumie kauli nzuri hata kama upo busy na kazi.
Matunda ya ubusy wenu pia tuyafaidi. Hebu fikiria upo busy hadi wkend kila siku kisingizio kazi ila wife akikwambia ana shida ya kitu flani humpi, yaani ubusy wako unamfanya anakosa mahitaji ya kimwili na ya kipesa.
 
hamna cha zamu,hapa ni kudeka nalipishia miaka yote niliyomdekeza. ni ma- baby, ma-heart beat, ma hurt-burn hadi akome. mwanajamii1, inabidi nimtafute anipe kungu nimuangalie kwa jicho lwa wizi
QUOTE=bht;2440363]psngianeni zamu..lol

King'asti lol nimeshtuka usingizini nlisahau kumalizia kiporo changu cha Castle LOL
Hakuna cha zamu shosti we ulikuwa unafanya kazi si yako hata kidogo.............tangu lini mwanaume akadekezwa?! Anaheshimiwa tu (Mwanamke anapaswa kuheshimiwa na kudekezwa). Kumdekeza mwanaume si sawa uliona wapi mwanaume na mijisuli yake akabebwa kwa mbeleko? labda ya chuma shost mwanamke ndo abebwe ati ah..........anabebeka!! si mwanaume!! (mkiamua kunitafuna leo kina kaka ntokeeni kwenye screen yangu, nshavaa boxer LOL)

Mwayego namitanieni mwee.................weeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaa, lete ingine!
 
King'asti lol nimeshtuka usingizini nlisahau kumalizia kiporo changu cha Castle LOL<br />
Hakuna cha zamu shosti we ulikuwa unafanya kazi si yako hata kidogo.............tangu lini mwanaume akadekezwa?! Anaheshimiwa tu (Mwanamke anapaswa kuheshimiwa na kudekezwa). Kumdekeza mwanaume si sawa uliona wapi mwanaume na mijisuli yake akabebwa kwa mbeleko? labda ya chuma shost mwanamke ndo abebwe ati ah..........anabebeka!! si mwanaume!! (mkiamua kunitafuna leo kina kaka ntokeeni kwenye screen yangu, nshavaa boxer LOL)<br />
<br />
Mwayego namitanieni mwee.................weeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaa, lete ingine!
asee, weye bana!
 
Kweli inabidi mtumie kauli nzuri hata kama upo busy na kazi.
Matunda ya ubusy wenu pia tuyafaidi. Hebu fikiria upo busy hadi wkend kila siku kisingizio kazi ila wife akikwambia ana shida ya kitu flani humpi, yaani ubusy wako unamfanya anakosa mahitaji ya kimwili na ya kipesa.
Hapo ndio wanapotoka, aisee wanawake tunapenda kudekezwa hata kama tunadanganywa hivohivo
 
vidumu viporo vya castle,lol!
yaani hapa nawaza what i shld order for my bfast in bed. huku nafanya zoezi ya kulegeza hili jicho,manake liko kali linafaa kwa kudai ada ya watoto tu,kha! wallah nimestuka kwenye usingizi wa kifo. baelezee bana, manake hawa wababa wetu wanatuponza sie ma-racist hadi tunaanza kuwawaza wazungu japo mara moja moja,lol! ngoja nianze kuwinda kuku wangu na manati. ongeza mbili kwa bill yangu aisee:wink1::A S-rap:


King'asti lol nimeshtuka usingizini nlisahau kumalizia kiporo changu cha Castle LOL
Hakuna cha zamu shosti we ulikuwa unafanya kazi si yako hata kidogo.............tangu lini mwanaume akadekezwa?! Anaheshimiwa tu (Mwanamke anapaswa kuheshimiwa na kudekezwa). Kumdekeza mwanaume si sawa uliona wapi mwanaume na mijisuli yake akabebwa kwa mbeleko? labda ya chuma shost mwanamke ndo abebwe ati ah..........anabebeka!! si mwanaume!! (mkiamua kunitafuna leo kina kaka ntokeeni kwenye screen yangu, nshavaa boxer LOL)

Mwayego namitanieni mwee.................weeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaa, lete ingine!
 
mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol&lt;br /&gt;<br />
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
<br />
<br />

Umekumbusha kitu, kuna miamamume mingine badala ya kudekeza ndo kwanza yatakaidekezwe! Come on l am not ur mother!
 
yeah! wanawake wanajua kudeka sana wanapenda pia kubembelezwa ila poa, inapendeza!
 
Bado sijaoa.......<br />
Naomba unisaidie kutafuta mke mwema atakayenifaa maishani
<br />
<br />

Aah hujaoa; kumbe waongelea theory zaidi! Nami nilikuwaga na theory za hivyo hivyo wakati sijailewa! Ila kwenye Uzi mmoja ulisema una miaka 4 ya ndoa!

Kama umeoa naanza kuamini Maneno ya nyumba kubwa aliposema wanaume wanaocare sana ni wazinzi!
 
if u say u ar nt his mother, he wld want u to be his BABYSITTER,lol. which is better coz utasaidia kumfunza kujitegemea! i wish viboko vingeruhusiwa especially on throwing clothes around na kuvua viatu ovyo,lol
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Umekumbusha kitu, kuna miamamume mingine badala ya kudekeza ndo kwanza yatakaidekezwe! Come on l am not ur mother!
<br />
<br />
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Umekumbusha kitu, kuna miamamume mingine badala ya kudekeza ndo kwanza yatakaidekezwe! Come on l am not ur mother!
<br />
<br />

lol.....u have made my day....ha ha ha ha
 
Eeeeh,
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
<br />
Aah hujaoa; kumbe waongelea theory zaidi! Nami nilikuwaga na theory za hivyo hivyo wakati sijailewa! Ila kwenye Uzi mmoja ulisema una miaka 4 ya ndoa! <br />
<br />
Kama umeoa naanza kuamini Maneno ya nyumba kubwa aliposema wanaume wanaocare sana ni wazinzi!
<br />
<br />
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt; <br />
daah! Nafuu umewaeleza<br />
<br />
Jamani mtambuzi umeoa? Namuonea wivu mkeo. Maana mijinaume mingine haiju hayo yote<br />
imekalia kutesa tuu watoto wa watu.
<br />
<br />
hakutesi, ndo anakukomaza.
 
Back
Top Bottom