First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
ila pia umesha commentNimeshindwa la ku comment....
ila pia umesha commentNimeshindwa la ku comment....
<br />
<br />
daah! Nafuu umewaeleza
Jamani mtambuzi umeoa? Namuonea wivu mkeo. Maana mijinaume mingine haiju hayo yote
imekalia kutesa tuu watoto wa watu.
hahahahhaaa!!mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol<br /><br />
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
hamna cha zamu,hapa ni kudeka nalipishia miaka yote niliyomdekeza. ni ma- baby, ma-heart beat, ma hurt-burn hadi akome. mwanajamii1, inabidi nimtafute anipe kungu nimuangalie kwa jicho lwa wizi
QUOTE=bht;2440363]psngianeni zamu..lol
<br />Bado sijaoa.......<br />
Naomba unisaidie kutafuta mke mwema atakayenifaa maishani
asee, weye bana!King'asti lol nimeshtuka usingizini nlisahau kumalizia kiporo changu cha Castle LOL<br />
Hakuna cha zamu shosti we ulikuwa unafanya kazi si yako hata kidogo.............tangu lini mwanaume akadekezwa?! Anaheshimiwa tu (Mwanamke anapaswa kuheshimiwa na kudekezwa). Kumdekeza mwanaume si sawa uliona wapi mwanaume na mijisuli yake akabebwa kwa mbeleko? labda ya chuma shost mwanamke ndo abebwe ati ah..........anabebeka!! si mwanaume!! (mkiamua kunitafuna leo kina kaka ntokeeni kwenye screen yangu, nshavaa boxer LOL)<br />
<br />
Mwayego namitanieni mwee.................weeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaa, lete ingine!
Hapo ndio wanapotoka, aisee wanawake tunapenda kudekezwa hata kama tunadanganywa hivohivoKweli inabidi mtumie kauli nzuri hata kama upo busy na kazi.
Matunda ya ubusy wenu pia tuyafaidi. Hebu fikiria upo busy hadi wkend kila siku kisingizio kazi ila wife akikwambia ana shida ya kitu flani humpi, yaani ubusy wako unamfanya anakosa mahitaji ya kimwili na ya kipesa.
King'asti lol nimeshtuka usingizini nlisahau kumalizia kiporo changu cha Castle LOL
Hakuna cha zamu shosti we ulikuwa unafanya kazi si yako hata kidogo.............tangu lini mwanaume akadekezwa?! Anaheshimiwa tu (Mwanamke anapaswa kuheshimiwa na kudekezwa). Kumdekeza mwanaume si sawa uliona wapi mwanaume na mijisuli yake akabebwa kwa mbeleko? labda ya chuma shost mwanamke ndo abebwe ati ah..........anabebeka!! si mwanaume!! (mkiamua kunitafuna leo kina kaka ntokeeni kwenye screen yangu, nshavaa boxer LOL)
Mwayego namitanieni mwee.................weeeeeeeeeeraaaaaaaaaaaaaaaaaaa, lete ingine!
hahahahhaaa!!
Ask for 100 things, do 10, you will still get his attention!
<br />mie mbona ndo nna kazi ya kudekeza! bora mmenistua nianze na mie kudeka,lol<br /><br />
manake nafua hadi nanilii,napika, namlisha,namuogesha eh! list ndefu kwa kweli. mjini shule,ngoja nianze sasa hivi...
<br />Bado sijaoa.......<br />
Naomba unisaidie kutafuta mke mwema atakayenifaa maishani
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Umekumbusha kitu, kuna miamamume mingine badala ya kudekeza ndo kwanza yatakaidekezwe! Come on l am not ur mother!
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Umekumbusha kitu, kuna miamamume mingine badala ya kudekeza ndo kwanza yatakaidekezwe! Come on l am not ur mother!
<br /><br /><br />
<br /><br />
<br />
Aah hujaoa; kumbe waongelea theory zaidi! Nami nilikuwaga na theory za hivyo hivyo wakati sijailewa! Ila kwenye Uzi mmoja ulisema una miaka 4 ya ndoa! <br />
<br />
Kama umeoa naanza kuamini Maneno ya nyumba kubwa aliposema wanaume wanaocare sana ni wazinzi!
huwezi juawe waweza?????
<br />psngianeni zamu..lol
<br /><br /><br />
<br /> <br />
daah! Nafuu umewaeleza<br />
<br />
Jamani mtambuzi umeoa? Namuonea wivu mkeo. Maana mijinaume mingine haiju hayo yote<br />
imekalia kutesa tuu watoto wa watu.