Sijui kwanini wanawake wagumu sana kuelewa.Mke wangu aliondoka nyumbani na kumwacha mtoto wetu Wa kiume Wa miezi 6 akilia mnooo. Dada Wa kazi akambembeleza weeee hakunyamaza. Akamwimbia hakunyamaza.
Akaamua kutoa nyonyo zake na kumpa mtoto.Mwanangu akanyamaza pale pale. Akiwa anamnyonyesha Mimi nikaingia. Nikamuwakia dada. " unataka kumuambukiza mtoto magonjwa? . "Hapana baba hayatoi maziwa Mimi nimempa tu anyamaze!!" Kweli hayatoi?".
Nikaamua kuthibitisha. Nikamtoa mtoto na nikawa nanyonya Mimi. " ahaa kweli hayatoi. Hebu hilo lingine! Nalo halitoi?. Mara wife kaingia.nikamwambia kuwa nafanya uchunguzi Wa nililolikuta. Hakuamini.
Hebu niambieni. Wapi nimekosea? Kufuatilia afya ya mtoto ni kosa?
Wanawake acheni hizo!