Nina mpango wa kwenda kwa mganga ili mai waifu Kaunga anikabidhi kadi ya kale ka staleti kake . .Lol!
"
Ki ukweli waganga ni waongo sana.Huwezi ukaenda wakakuambia huna tatizo!!
i feel bad kwakweli.....msimamo wangu uleule!Silei Mtoto wa mume!!
Dah.....kwa Msisi ni balaa!wala sitaki kupasikia