Glenohumeral joint
JF-Expert Member
- Oct 29, 2017
- 2,055
- 2,911
- Thread starter
-
- #141
N noma mzee baba....nakumbuka huu mtombano wa mwisho demu alimuaga huyo mshikaji wake kuwa atasoma usiku huo kuanzia saa moja mpk nane usiku,na kesho anaamkia kufanya paper...yaan n balaawanaume tuna kazi sana hapo unaambiwa babe niache nilale kidogo ntakupigia au nafanya assignment ntakutafuta kumbe jamaa ana drill papuchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umenena vyema mkuuGlenohumeral joint, Usirudie kumwamini sana Mwanamke bila kumchunguza vizuri sana.
Na hata ukishamchunguza sana usimwamini kwa 100%.
Mkasa kama huu umetukuta wengi tu.
Cha muhimu Muombe Mungu huku ukitulia halafu kuwa ''PATIENCE'' yaani uvumilivu tu huku unamwomba Mungu ndio utakusaidia.
Mungu atakupatia mwenye nafuu (Sio Malaika) ila mwenye nafuu mtakaeezana nae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakika aisee....nmeshika adabukumwamini mwanamke kupita kiasi nikuaandaa msongo wa mawazo wa siku zijazo, hawa viumbe wanajua ku-act kuliko hata waigizaji wenyewe
Ndio ushangae....demu n muongo na mchepukaji Ila jamaa kasema atamuoa hvohvo kisa n wife material kwa sababu tu akienda kumuona anampelekeaga zawadi Kama mchele...nmecheka japo namm nmeumiaGlenohumeral joint,Hhaaha wife material.my foot...Yaani mtu anachepuka kiasi hicho then still ni wife material
Sent using Jamii Forums mobile app
Daaaaah,so sad ....I can imagine ur painMzee sio wewe tu, mie mbona niliwahi kukutana na ishu kama yako. Tena bora wewe hukutumia mali zako kumtunza. Mie niliwahi kumhudumia hadi akawa ananitambulisha kwa mama yake na nilifika hadi home kwao mama yake alinijua lakini baadae akapindua Meza. Akarudiana na Ex wake. Wasichana wa chuo sio wa kurukia kichwa kichwa mazee
Hapana siwez maana nilimpenda Sana so nafasi ya mchepuko sitaweza kuvumilia maumivu yake....nimeamua nitulie tu then nitapata demu mwingine
i willHelp me to find one please
Noma sana!Maujanja wa wadada wa vyuoni
wanasoma mchana wanafanya uchangudoa jion,
Kisha wana act kama virgin in a morning.....
Pole sana chief
Daaaah.....bhc n zaidi ya hatari aiseeHaya ni maisha ya kawaida sana kwa wadada wa vyuoni. Nakumbuka wakati nipo chuo, nilikuwa na mahusiano kama haya ya mtoa mada. Ila tukiwa mwaka wa pili chuo ndio nilikuja tambua dada niliekuwa nae alishaolewa na mwanajeshi na ana mtoto mmoja na anasomeshwa na mume wake. Wanawake wana drama hatari sana.
Ni kweli mkuuHawa viumbe ukiwaruhusu waongee utapigwa kamba hadi ujione wewe ndio unakosa. Unaweza jikuta unaomba msamaha kabisa.
Next time ukishapata ushahidi kama ule wa facebook kujumlisha na zile chenga chenga, wewe kula kona.
Na huyo baharia mwingine sijui ana shida gani, hivi mwanamke kakucheat mwaka mzima bado unataka kuoa? Watu tupo tofauti sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ushangae....demu n muongo na mchepukaji Ila jamaa kasema atamuoa hvohvo kisa n wife material kwa sababu tu akienda kumuona anampelekeaga zawadi Kama mchele...nmecheka japo namm nmeumia
Sent using Jamii Forums mobile app