Wanawake wamekuwa ni jeshi dhidi ya nani?

Wanawake wamekuwa ni jeshi dhidi ya nani?

Linguistic

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2021
Posts
3,664
Reaction score
8,278
Wakuu Ts nonsense

Kwa mtizamo wangu, hii kitu inyoendelea kwenye social media platforms inaweza kuwaletea shida mbeleni wana-CCM!

Political strategist waione mapema hii.

Wameanza kuwa"brand" wanawake wa nchi hii dhidi ya nani?

Je, vijana wa Nchii hii nao wakija na slogan yao sijui itakuwaje? Tutaleta mpasuko mkubwa ndani ya Taifa! Mbona wanawake mshafanya/mnafanya makubwa. Mangapi mmefanya mpaka hayahesabiki.

Hivi tunamtisha nani kwamba wanawake ni Jeshi kubwa? Je, ni Jeshi kubwa DHIDI ya nani? DHIDI ya wanaume, vijana ama Wazee?

Hii itakujaa kuback fire na kuleta shida mbeleni, mwenye jicho la tatu na waone haya!

Sisi tutaendelea kushauri kwa maslahi mapana ya Taifa kama tutapuuzwa sawa Lkn tumetimiza wajibu wetu wa kushauri kwa nchi yetu!

Hii kampeni inaweza kabisa kuwabomoa kuelekea Mwaka 2025.
View attachment 2029186
 
Wakuu Ts nonsense

Kwa mtizamo wangu, hii kitu inyoendelea kwenye social media platforms inaweza kuwaletea shida mbeleni wana-CCM!

Political strategist waione mapema hii.

Wameanza kuwa"brand" wanawake wa nchi hii dhidi ya nani?

Je, vijana wa Nchii hii nao wakija na slogan yao sijui itakuwaje? Tutaleta mpasuko mkubwa ndani ya Taifa! Mbona wanawake mshafanya/mnafanya makubwa. Mangapi mmefanya mpaka hayahesabiki.

Hivi tunamtisha nani kwamba wanawake ni Jeshi kubwa? Je, ni Jeshi kubwa DHIDI ya nani? DHIDI ya wanaume, vijana ama Wazee?

Hii itakujaa kuback fire na kuleta shida mbeleni, mwenye jicho la tatu na waone haya!

Sisi tutaendelea kushauri kwa maslahi mapana ya Taifa kama tutapuuzwa sawa Lkn tumetimiza wajibu wetu wa kushauri kwa nchi yetu!

Hii kampeni inaweza kabisa kuwabomoa kuelekea Mwaka 2025.
Hii inafikirisha sana
 
Wewe unaona sawa sababu unaishi kwa mama yako!
Si ndio?
Lets say its true naishi kwa &/ na mama, lets say na wewe unaishi kwa &/ na baba, sasa wewe kipi kinakuwasha? Si uko na baba yako?
 
Mwanamke ni inferior tu kwa mwanaume... so it has been, so it will be!
Waache wajifariji na hiyo misemo yao!
 
Mwanajeshi gani anagawa mbunye kirahisi.Acha wabweke tu mkuu wahuni tunawachek tu,Jero tu unawakamua
 
Wakuu Ts nonsense

Kwa mtizamo wangu, hii kitu inyoendelea kwenye social media platforms inaweza kuwaletea shida mbeleni wana-CCM!

Political strategist waione mapema hii.

Wameanza kuwa"brand" wanawake wa nchi hii dhidi ya nani?

Je, vijana wa Nchii hii nao wakija na slogan yao sijui itakuwaje? Tutaleta mpasuko mkubwa ndani ya Taifa! Mbona wanawake mshafanya/mnafanya makubwa. Mangapi mmefanya mpaka hayahesabiki.

Hivi tunamtisha nani kwamba wanawake ni Jeshi kubwa? Je, ni Jeshi kubwa DHIDI ya nani? DHIDI ya wanaume, vijana ama Wazee?

Hii itakujaa kuback fire na kuleta shida mbeleni, mwenye jicho la tatu na waone haya!

Sisi tutaendelea kushauri kwa maslahi mapana ya Taifa kama tutapuuzwa sawa Lkn tumetimiza wajibu wetu wa kushauri kwa nchi yetu!

Hii kampeni inaweza kabisa kuwabomoa kuelekea Mwaka 2025.
Wanawake ni wako na changamoto nyingi sana kulinganisha na wewe mwanaume, walinyimwa fursa ya kupata elimu, wananyimwa urithi kwenye familia zao, walizuiliwa kupiga kura, kipindi cha bwana wetu Yesu walikuwa hata hawahesabiwi!

Hizo ni baadhi tu ya changamoto za kijamii ukiacha zile za kibaiolojia na kisaikolojia. Kwa hiyo?
Wahitaji sapoti, wanahitaji special consideration na wanahitaji kutiwa moyo.

Hizo slogan za wanaweza, siku ya wanawake na hilo jeshi ni katika kujaribu kufanya mambo tajwa hapo juu, hivyo basi hutakiwi kuwahofia, wanahitaji sapoti yako!
 
Back
Top Bottom