Umenena ukweli mkuu...kawaida mwanamke wa 20s+ anakuwa na matarajio makubwa sana kimaisha akiutazama uzuri, elimu au chochote tofauti alichopewa, ila akifikia 30s+ anakuwa na uzoefu wa kutosha na anatamani maisha ya kujipa raha zaidi ndiyo maana anabadili mfumo wa maisha kutoka msichana binti mdogo hadi binti mtu mzima.
kwako halikuwapo jibu....ndo maana nikacomment ungekuwa umejib kama Superman ningecomment a very different thing au kutokucomment kabisa
++
I trust you but why you made it public Hujui under 30 mnatafutwa?
Dont prepare a quick way to go out of me
Heaven on earth
++
Basi nisamehe Heaven on earth ni mitizamo tofauti katika jamii.
tunatafutwa wakati hao wa 30's xstics zao zinatukimbiza
nani anatafta mtu ukutoka nae out afu anakuletea a basketball team
may be you....
HahahahaaaaHahaha hapo kwen ufundi naweza kukuhakikishia walioko kwen 30s ndo wenyewe. Hapana chezeya mwenye lengo la kupata utamu...
Dogo kumbe bado mweupe eeh?
-Hata mizinga hawapigi ovyo ovyo mpwa
-Hawezi beba mashosti kwenye appointment
-Anaelewa maisha yalivyo ukimwambia huna kitu mwelewa
-Hawana makuu, wavumilivu
-Wanajua kuthamini/kumjali mwenza.
tunatafutwa wakati hao wa 30's xstics zao zinatukimbiza
nani anatafta mtu ukutoka nae out afu anakuletea a basketball team
may be you....
Mbona kuna wanaonekana kama wana 50s?
Unafikilia sababu kubwa haswa ni nini kupeleka timu ya basketball kwa mpenzi wako? Je nikuwalingishia wenzio? Je nikumkomoa? Je nikupima uwezo wake mfukoni? Je unataka awatongoze na mashosti wako?
Hahahahaaa kwa mlivyo lol unambaka kweli maana hata kiunoni hakufikii lolHeee Erickb52.. kwani yeye ni dawa mpaka aeksipaya..! Shindwa na ulegee mwenyewe naumona katineja changu.. Yaani kama nambaka vle alivyokuwa mtoto..!
Well written kaka Kaiza, na mimi natia timu:
- Wana Confidence la kufa mtu na ni waelewa sana
- Na wanakata issue za ukweli sambamba na wewe.
- Ni marafiki genuine na washauri wa maana
- Hwalii lii kutaka unnecessary sympathy
- Wanajiheshimu
Shida yao ndogo wengine nyama uzembe kibao na vitambi visivyo na tija!
Basi nisamehe Heaven on earth ni mitizamo tofauti katika jamii.