Wanawake wakiolewa wanaacha zile "style" za kitandani

Wanawake wakiolewa wanaacha zile "style" za kitandani

Ni vingi huachwa
Kupika
Kukunawisha mikono kwa heshima
Kukuhudumia chakula wakati Baada ya ndoa watoto na Dada hutumiaka zaidi.
Mpikie baba huwa nyingi sana muwekee maji ya kuoga.
Wkend Kama hivi unakuta tangu kumekucha mtu yupo na simu simu simu tuu si tayari yupo kwenye ndoa?
Tuvumilie ndivyo walivyo
 
I mean no malice to nobody
FB_IMG_17057829606792712.jpg
 
Back
Top Bottom