Wanawake waha ๐Ÿ™Œ๐Ÿปwapo unique sana

Kuna mshikaji wetu kaoa wa Kigoma, yule mwanamke anapiga kazi kama punda na jamaa alijiopolea tu huko Kigoma alivyoenda kazi za porini...
heeee๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Mdogo wake/ pacha wake BITEKO Kakatwa kwakuwa siyo raiya wa Tanzania ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ. Huku BITEKO ni naibu wazir mkuu na atakuwa pm!
Hili limekaaje? Wale watu mapacha jamani
Kama ni kweli basi bongo ni noma
 
Wanawake wa kiha ni wavumilivu sana sana.
Tatizo lao ni ubishi na ujuaji. Yaani hata kama umemshuhudia atakukatalia.

Ila waha wa Uvinza naona kama ni tofauti na hao wa wilaya nyingine, wajanja wajanja sana na uswahili mwingi.
 
Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
Hao manyang'au achana nao.......ni mapretender wakubwa .......ushirikina mbele na kutaka kuwatawala waume zao ndani hovyo kabisa hao watu
 
Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
Epuka uchawi mkubwa kutoka kwa hawa watu, watakupigia goti la kukuloga hadi kope za macho.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ