Wanawake waha 🙌🏻wapo unique sana

Wanawake waha 🙌🏻wapo unique sana

Mdogo wake/ pacha wake BITEKO Kakatwa kwakuwa siyo raiya wa Tanzania 🇹🇿. Huku BITEKO ni naibu wazir mkuu na atakuwa pm!
Hili limekaaje? Wale watu mapacha jamani
Kama ni kweli basi bongo ni noma
 
Wanawake wa kiha ni wavumilivu sana sana.
Tatizo lao ni ubishi na ujuaji. Yaani hata kama umemshuhudia atakukatalia.

Ila waha wa Uvinza naona kama ni tofauti na hao wa wilaya nyingine, wajanja wajanja sana na uswahili mwingi.
 
Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
Hao manyang'au achana nao.......ni mapretender wakubwa .......ushirikina mbele na kutaka kuwatawala waume zao ndani hovyo kabisa hao watu
 
Wadau, kama Kuna mtu ame notice hawa wanawake wa Kigoma waha wapo humble sana na pia ni wife material mno
Epuka uchawi mkubwa kutoka kwa hawa watu, watakupigia goti la kukuloga hadi kope za macho.
 
Back
Top Bottom