Wanawake Wadangaji wamehamia Linkedin

mpiga domo

JF-Expert Member
Apr 30, 2013
852
1,502
Habari za Jioni Wakuu,

Naona kumekua na wimbi la wanawake wadangaji kwenye mtandao pendwa wa professionals kwa jina la Linkedin.

Hawa wadangaji walianzia Badoo, wakaenda facebook ikachuja, wakaja JF, wakaenda insta sasa soko limekua gumu wameamua kufuata watu katika maeneo yao ya kazi.

Huko LinkedIn wanaweka profile za kizushi katika Bio yao kama wamesoma chuo flani na wana kazi fulani ili usishtuke. Baadaye katika kufahamu kwa undani kuhusu work experience na vitu kama hvyo ndo utajua kwamba ni mdangaji.

Mbona Maisha yamekua hivi, ni nini jaman kina dada, mmekua desperate na njaa kufikia kiasi hiki?

Hapana Kwakweli Inatosha Ishien Instagram na huku kwingineko kule mnajiaibisha.

Wanaume kuweni makini mkuwapo LinkedIn msije mkajiharibia CV zenu hapo baadaye kwani kule ni mtandao wa ku'network na fellow professionals including your employer.

Ni hayo tu. Nawatakia ulainishaji mwema wa Vyuma.
20180327_181607.jpg
20180327_181632.jpg
 
Kuna haja ya serikali kuhalalisha hii biashara sasa ili dada zetu wasipate shida huku asset wanayo, iwe ni rahisi kwao kuibadiliaha kua pesa kihalali.

Haiwezekani na haiingii akilini binti afe na njaa huku anamiliki mgodi unaotema madini muda wote, eti kisa tu serikali hainaweka mazingira ya wazi ya wao kuuza migodi yao.
 
Kuna mambo hayana budi kutokea kwa kuwa huo ni unabii (ktk unabii jambo huwa linatabiriwa kutokea na muda pia huwa unawekwa bayana,so sidhani kama ni vibaya kwa kuwa Mungu siyo mwanadamu)
 
Habari za Jioni Wakuu,

Naona kumekua na wimbi la wanawake wadangaji kwenye mtandao pendwa wa professionals kwa jina la Linkedin.

Hawa wadangaji walianzia Badoo, wakaenda facebook ikachuja, wakaja JF, wakaenda insta sasa soko limekua gumu wameamua kufuata watu katika maeneo yao ya kazi.

Huko LinkedIn wanaweka profile za kizushi katika Bio yao kama wamesoma chuo flani na wana kazi fulani ili usishtuke. Baadaye katika kufahamu kwa undani kuhusu work experience na vitu kama hvyo ndo utajua kwamba ni mdangaji.

Mbona Maisha yamekua hivi, ni nini jaman kina dada, mmekua desperate na njaa kufikia kiasi hiki?

Hapana Kwakweli Inatosha Ishien Instagram na huku kwingineko kule mnajiaibisha.

Wanaume kuweni makini mkuwapo LinkedIn msije mkajiharibia CV zenu hapo baadaye kwani kule ni mtandao wa ku'network na fellow professionals including your employer.

Ni hayo tu. Nawatakia ulainishaji mwema wa Vyuma. View attachment 726838View attachment 726839
Kumbe ukiwa LinkedIn unatumia Erick ila ukiwa JAMII FORUM unaitwa mpiga ndomo, kweli acha JF iitwe great thinker... ila hongera bwana Eric nitakutafuta huko
 
Habari za Jioni Wakuu,

Naona kumekua na wimbi la wanawake wadangaji kwenye mtandao pendwa wa professionals kwa jina la Linkedin.

Hawa wadangaji walianzia Badoo, wakaenda facebook ikachuja, wakaja JF, wakaenda insta sasa soko limekua gumu wameamua kufuata watu katika maeneo yao ya kazi.

Huko LinkedIn wanaweka profile za kizushi katika Bio yao kama wamesoma chuo flani na wana kazi fulani ili usishtuke. Baadaye katika kufahamu kwa undani kuhusu work experience na vitu kama hvyo ndo utajua kwamba ni mdangaji.

Mbona Maisha yamekua hivi, ni nini jaman kina dada, mmekua desperate na njaa kufikia kiasi hiki?

Hapana Kwakweli Inatosha Ishien Instagram na huku kwingineko kule mnajiaibisha.

Wanaume kuweni makini mkuwapo LinkedIn msije mkajiharibia CV zenu hapo baadaye kwani kule ni mtandao wa ku'network na fellow professionals including your employer.

Ni hayo tu. Nawatakia ulainishaji mwema wa Vyuma. View attachment 726838View attachment 726839
Hahahaha ushajulikana tayari ,ngoja tuanze kukufuatilia nyuzi zako kama ulimkosoa Rais wetu basi tutaanza nà wewe bwana Erick
 
Ajira hakuna sasa wafanyaje ni kuwasaidia ukicheka na kusimanga kesho kutwa dada yako na mdogo wako atachekwa pia kwa kudanga.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom