Wanawake wa sasa mna nini?

Huu ukweli hamtaki kukubali wanaume kabla hujatongoza ni bora uongee hali halisi kabla vizinga havijaanza,tatizo ni waongo haijawahi kutokea.
 
Sikulazimishi kama hautaki kuamini
Yupo mmoja nilimkuta anafanya kwa kua nilimpenda na mazingira ya sehemu aliyoajiriwa pamoja na ugumu wa kazi aliyokua anaifanya sikufurahishwa nayo nikaamua kumfungulia biashara yake mwenyewe na kwa siku anaingiza si chini ya 50,000/- lkn bado haoni hata aibu kuniomba nimnunulie kitu cha 10,000/- na sio kua anaomba mara moja moja.
Umatonya upo damuni karibia wanawake wengi kwa sasa.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
 
Mkuu tunamalize utata ushindi nakupa πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Kuitwa mume kwangu sidhani kama ni shida we niite vyoyote unavyojisikia hata ukiinita my stigla joji au my standadigeji sawa tu ili mradi usinitukane au kunipiga vizinga vya kipumbavu.

Sent from my GT-P5200 using Tapatalk
Nimecheka mnoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku hizi wamekua kama vichaa mara utasikia simu imeharibika,njaa,nauli,vocher etc kuja kugundua jamaa alikua serious its too late kashaliwa na kufyekelewa mbali.


Na ndio unatakiwa fany hivyo...kuwala na kusepa zako usiweke kituo utaumia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…