Wanawake wa sasa mna nini?

Baadhi ya wanaume mnachosha kwa kulalamika aisee huna pesa kabla hujatongoza mwambie mwanamke mapema mimi Sina pesa yeye ndio atakua muamuzi akubali ama la, Tatizo hamuwezi kusema ukweli mkija ahadi kibao oooh nitakuoa nikubali , oooh pesa kwangu sio tatizo why mwanamke asiombe.
 
Kabla hujakuwa na mwanamke kwenye mahusiano muambie/mueleze hali halisi kuhusu wewe kiuchumi upo vizuri ama la.
 
Wanawake wa siku hizi njaa tupu ukitongoza mara ya kwanza itapita siku moja utasikia kesho kutwa baby birthday yangu njaa mbaya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…