Wanawake wa sasa mna nini?

666999

Member
Joined
Dec 25, 2018
Posts
29
Reaction score
31
Habari za wakati wana jukwa!

Dunia inaenda kasi saana hasa kwa wadada. Ukitongoza mwanamke akikubali muwe wapenzi baada ya siku 2 tu yafuatayo yanatokea.

1.Utaletewa mahitaji meeengi yake kama vile, pesa, sijui hiki wala kile. Sasa kabla ya kupata mwanaume ulikua unaishije? Je hapo kuna mapenzi au umepata pa kutatulia shida?

2.Utaitwa mme. Kama siku 2 tu nakua mme je nitakuoa kweli?

Au mimi tu ndio nakutana na haya kwenu hali ikoje?
 
Kawaida yao mkuu hao viumbe yaan siku hiz fashion imekua....
 
Mkuu usiumize kichwa mapenzi gazeti. Raha yake usome na kumuachia mwenzio ukitaka ukumbatie usome mpaka yale maneno ya nakala kwa Mkuu wa Posta na ISBN number itaku cost.

Wanawake wapo kimaslahi siku hizi wewe usiumize kichwa kuitwa Mume, My Airbus,My Love n.k.
 
Baba hayo tumeshayazoea sisi.
Wewe hadi siku 2 zipite?
Sisi huku ni siku hiyo hiyo unaitwa majina yote ya mahaba.
 
Nimecheka mnoo
 
Ngoja na mimi niijaribu hii kitu kama ni ya kweli.ila nasubiria miezi walau april hadi may...nione
 


Mimi sina shida, mradi tukifika muda wa mambo yetu hasumbui. Yani ukimgusa kiuno tu tayari anatoa ushirikiano kwa kujibetua kiuno ili umfungue zipu vizuri. Tunasema wanatoa ushirikiano, hawa huwa nahonga sana kudaaadenye!
 
Usipate shida km unacho ww mpe na Mungu atakuongozea huku kitaani kwetu madem wa hivyo huwa tunawaita MAYATIMA hapo nadhani utakua umenipata yatima ni kiumbe wa aina gani
hahahahaha
 
Msailor.
 
njaa kali mjini hapa...
ni mwendo wa kutumia rasilimali uliyonayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…