Habari za wakati wana jukwa!
Dunia inaenda kasi saana hasa kwa wadada.
Ukitongoza mwanamke akikubali muwe wapenzi baada ya siku 2 tu yafuatayo yanatokea.
1.Utaletewa mahitaji meeengi yake kama vile,pesa,sijui hiki wala kile.
Sasa kabla ya kupata mwanaume ulikua unaishije?
Je hapo kuna mapenzi au umepata pa kutatulia shida?
2.Utaitwa mme.
Kama siku 2 tu nakua mme je nitakuaoa kweli?
Au mimi tu ndio nakutana na haya kwenu hali ikoje?