Mkalukungone Mwamba
JF-Expert Member
- Aug 29, 2022
- 2,437
- 5,235
Vituko vinaendelea huko! Pesa zinasakwa jamani kwa kila njia
Yani unajidhalilisha kisa mtu ambae akitoka hapo akukumbuki tena. Ni Huzuni kwa kweli
===========================
Wanawake wa Rufiji wakigaragara chini kwa furaha wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi alipowasili katika Uwanja wa soko wa TASAF katika Kata ya Nyamwage.
Yani unajidhalilisha kisa mtu ambae akitoka hapo akukumbuki tena. Ni Huzuni kwa kweli
===========================
Wanawake wa Rufiji wakigaragara chini kwa furaha wakati wa mapokezi ya mgombea mwenza wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. Emmanuel Nchimbi alipowasili katika Uwanja wa soko wa TASAF katika Kata ya Nyamwage.