Humorous Junior
JF-Expert Member
- Jul 19, 2018
- 1,599
- 1,421
Habari za wakati huu waungwana. Naombeni uzoefu wenu kuhusu wanawake wa Mombasa!
Wanatabia zipi kwenye mahusiano? Ni miezi 3 tatu sasa tupo katika dating, by the way hatujakutana kulana. Amesafiri kwenda nje ya nchi kikazi , Saudi Arabia. Single mother. Once mapenzi moto moto whatsp chat mpaka unasahau kuzima data. Picha kila wakati.
January hii nahisi kuna jambo haliko sawa! Mawasiliano yamekuwa mabovu. Kuna kisa kilinichanganya ila nikabaki kama nilivyoamua. Alikuwa anatumia telegram bila Mimi kujua kwamba najua Ila hajui kwamba najua. Hapa ndipo hali lipoanza KUWA ngumu!
Akaanzisha kisa kwamba nimemtongoza Dada take insta. Nikasema no ikabaki KUWA no. Akadai kuwa kuna mtu toka Tanzania anamtumia picha alizonipa Mimi!
Nikasema no, ikabaki kiwa no! Mawasiliano yakaanza kuwa hafifu. Mtafute mtafute tu.
Now, majuzi anasema simu take imepasuka, kwa hiyo akipatikana sawa, akikosekana sawa!
HEBU NIPENI MWANGA KWA JINSI MNAVYOWAJUA. ALINITAMBULISHA MPAKA KWA DADA YAKE!
I love this girl wakuu I hope one day I will marry her.
Naingiwa na mashaka!
Wanatabia zipi kwenye mahusiano? Ni miezi 3 tatu sasa tupo katika dating, by the way hatujakutana kulana. Amesafiri kwenda nje ya nchi kikazi , Saudi Arabia. Single mother. Once mapenzi moto moto whatsp chat mpaka unasahau kuzima data. Picha kila wakati.
January hii nahisi kuna jambo haliko sawa! Mawasiliano yamekuwa mabovu. Kuna kisa kilinichanganya ila nikabaki kama nilivyoamua. Alikuwa anatumia telegram bila Mimi kujua kwamba najua Ila hajui kwamba najua. Hapa ndipo hali lipoanza KUWA ngumu!
Akaanzisha kisa kwamba nimemtongoza Dada take insta. Nikasema no ikabaki KUWA no. Akadai kuwa kuna mtu toka Tanzania anamtumia picha alizonipa Mimi!
Nikasema no, ikabaki kiwa no! Mawasiliano yakaanza kuwa hafifu. Mtafute mtafute tu.
Now, majuzi anasema simu take imepasuka, kwa hiyo akipatikana sawa, akikosekana sawa!
HEBU NIPENI MWANGA KWA JINSI MNAVYOWAJUA. ALINITAMBULISHA MPAKA KWA DADA YAKE!
I love this girl wakuu I hope one day I will marry her.
Naingiwa na mashaka!