Wanawake wa mkoa Singida mngejua tumia uzuri wenu na misimamo nchi hii mngelifikisha taifa mbali

1F62502F-519C-47D9-BB06-0C98ADF7CEF8.jpeg
 
Navofahamu mnyantuzu ni wasukuma weupe, ni jamii ya kabila la Wasukuma.
Kuna makala moja nilisoma kuwa, wakati wanyaturu wanatoka huko kwao Ethiopia, Walipita na kuweka makao ktk hayo maeneo wanayoishi wanyatunzu wasasa. Hivyo basi kulikuwa na intermarriage na baadhi ya wasukuma. Kwahiyo mnyantunzu ni mchanganyiko wa mnyaturu na msukuma
Hiyo makala ilikuwa na ushahidi wa kihistoria, ikiwemo miti iliyopandwa na wanyaturu huko kwa Wanyantunzu wa sasa.
 
Kuna makala moja nilisoma kuwa, wakati wanyaturu wanatoka huko kwao Ethiopia, Walipita na kuweka makao ktk hayo maeneo wanayoishi wanyatunzu wasasa. Hivyo basi kulikuwa na intermarriage na baadhi ya wasukuma. Kwahiyo mnyantunzu ni mchanganyiko wa mnyaturu na msukuma
Hiyo makala ilikuwa na ushahidi wa kihistoria, ikiwemo miti iliyopandwa na wanyaturu huko kwa Wanyantunzu wa sasa.

Inaitwaje hiyo makala
 
Tabia ya kisukuma ya hovyo sana.Ni ujinga tu kudhani weupe ni uzuri.Hata zeruzeru ni mweupe.
Na ndio maana wasukuma wanazaaa mazeruzeru wengi kudhani wameoa weupe kumbe Albino.
Kama weupe ni uzuri basi wazungu wote,warabu wote,wachina wote ni wazuri.
Wasukuna wajinga sana.
 
Back
Top Bottom