Inawezekana endapo wewe muhusika unajua maana ya Kutongoza ni nini na maana ya Kuoa au Kuolewa ni nini?Jaman wana jf, wanajamvi. hivi mtu unaweza ukatongoza mpaka kuoa mwanamke ambae umemtongoza mitandaoni "social networks" bila kuonana akakubali kwa kuona picha tu? je atakua mwaminifu kwenye ndoa yake????
NAWASILISHA WANAJAMVI.
Jaman wana jf, wanajamvi. hivi mtu unaweza ukatongoza mpaka kuoa mwanamke ambae umemtongoza mitandaoni "social networks" bila kuonana akakubali kwa kuona picha tu? je atakua mwaminifu kwenye ndoa yake????
NAWASILISHA WANAJAMVI.
Humu kuna magubegube na magumegume yaliyoshindikana hakuna mume wala mke. Usibishe jaribu uone....
Sijawahi huona Simba Mfalme wa Pori anawinda sanamu la swala...!!!
Online dating ni playground ya wasio na uwezo wa kuwinda...
hao wa huku mitandaoni si ndio hao hao wa mtaani
jamani mbona mi nimepata humu humu.... kazana kaka wapo wengi tu, tena visu kuliko unaowaona huko alaf wapole lol!!!
Afu ndio eti uoe, khah! Vijana wana mbwembwe siku hizi. Kutongozwa live on stage kuna raha yake.