Wanawake wa mikoani tunavyokula

Sifa za kijinga.. wanawake wenzenu wamefanya mapinduzi makubwa kwenye sayansi na uchumi nyinyi huku mnaona ufahari kula ugali na nyanya chungu
Wanawake wenzao wapi hao? mkoani haimaanishi ni kijijini. Kuna mikoa iko vizuri kimaendeleo. Si watu washamba kama unavyodhani.
 
mkuu hivi unaujua vizuri utamu wa chips zege na mishkaki? hasa upate ile zege imejaa vitunguu na nundu pembeni na pepsi bariiiidi. acha kabisa
Wanawake wa mikoani wanawake kazi. Kula vitu heavy kwa shughuli za uhakika.
Lakin sio kama unawasema wadada wa dar.. wazee wa mishkaki na zege?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…