ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,074
- 42,849
Wakuu, maisha ya Kijijini na mjini kweli ni tofauti kuanzia lifestyle mpaka nguvu za mwili. Nipo huku Kanda ya Kusini pombe kuu ni mnazi au tembo kwa wale wa mwambao na pia gongo au pacho inayotengenezwa kwa Mabibo.
Kinachonishangaza ni jinsi wakina mama wa masasi wanavyokunywa gongo aisee ukiwaiga unakufa dakika sifuri gongo huku lita moja jero tu.
Sasa wakina mama wa huku wanakunywa gongo balaa katika shughuli za unyago karibu kila siku ila kazi wanazopiga utashangaa mwana mama Ana uwezo wa kwenda shamba kuchota maji dumu sita na baiskel na hapo kashakunywa gongo na wana afya nzuri tu na wanakula kawaida na kazi nyingi wanapiga kuliko wanaume.
Kinachonishangaza ni jinsi wakina mama wa masasi wanavyokunywa gongo aisee ukiwaiga unakufa dakika sifuri gongo huku lita moja jero tu.
Sasa wakina mama wa huku wanakunywa gongo balaa katika shughuli za unyago karibu kila siku ila kazi wanazopiga utashangaa mwana mama Ana uwezo wa kwenda shamba kuchota maji dumu sita na baiskel na hapo kashakunywa gongo na wana afya nzuri tu na wanakula kawaida na kazi nyingi wanapiga kuliko wanaume.