Sidhani kama ni wote ila nadhani katika 100 wazuri na wenye tabia za kibinadamu ni 5 sina kinyongo na wakenya ila najaribu kuonyesha uzoefu nilioupata na kuuona kwa wengine pia naomba ukija Tanzania siku moja nitafute nitakupa mfano ulio dhahiri uongee na dada zako na uangalie kama ni sawa tabia wanazofanya kulingana nawatanzania tulivyo na utamaduni hasa wa kiafrica
Mmenichosha sana for the first time!!! Ndio eti kura zikaibiwa kimachomacho tu mmenyamaza!!!! NKT!
mmmmnh am also kenyan, very dissapointed by what i have read, most of u are talking ill of us kenyan women coz u are shortsighted and this has got nothing to do with eyes... We are educated, independent and dont give a f*** abt your little stereotypes....sisis ni watu wa maendeleo sana and demand equality and respect from men...we love n think with what lies above our necks and not below the navel. Mwenye kuanzisha mada...kama umependa zama kakangu, forget abt stereotypes, zimepitwa na wakati...if u likee and love what she is like..go for it. Mmenichosha sana for the first time!!! Ndio eti kura zikaibiwa kimachomacho tu mmenyamaza!!!! NKT!
yote sawa ila hapo kwe***** mh! Mh!......wengi wao ni wabaya wa sura wapo zaidi kibiashara kuliko mapenzi. Si wasomi viiiiiiiiiiiiiile isije kuwa hicho kizungu chao wengi wanafikiri wamesoma. Wengi wao wanafanya kazi za nursing lakini hawana roho nzuri kwa wagonjwa. Kikubwa zaidi ni washamba nukta.
Wise lady I have so many Tanzanian friends and if you can ask them about the kenyan women they have met through me, they will tell you very nice things about them.We visit each other and they kenya is like home to them these days and so is Tz to me
Anyway, I believe in realities not romours said by few, take time and gt to know few kenyans and see for yourself
mmmmnh am also kenyan, very dissapointed by what i have read, most of u are talking ill of us kenyan women coz u are shortsighted and this has got nothing to do with eyes... We are educated, independent and dont give a f*** abt your little stereotypes....sisis ni watu wa maendeleo sana and demand equality and respect from men...we love n think with what lies above our necks and not below the navel. Mwenye kuanzisha mada...kama umependa zama kakangu, forget abt stereotypes, zimepitwa na wakati...if u likee and love what she is like..go for it. Mmenichosha sana for the first time!!! Ndio eti kura zikaibiwa kimachomacho tu mmenyamaza!!!! NKT!
Wise lady I have so many Tanzanian friends and if you can ask them about the kenyan women they have met through me, they will tell you very nice things about them.We visit each other and they kenya is like home to them these days and so is Tz to me
Anyway, I believe in realities not romours said by few, take time and gt to know few kenyans and see for yourself
usijali mum,mi na Derimto tulikuwa offtopic kidogo,vinginevyo najua wanawake wa kenya ni watu wema sana na ni rafiki zangu pia.Cheers
usijali mum,mi na Derimto tulikuwa offtopic kidogo,vinginevyo najua wanawake wa kenya ni watu wema sana ila kidogo wako rude lkn, ni rafiki zangu pia.Cheers
You kwo what am talking WL. Ila hawa ni kukungunguru tena wa zanzibar
You kwo what am talking WL. Ila hawa ni kukungunguru tena wa zanzibar
kunguru wa zenji wana tofauti gani na kunguru wengine?
Tofauti yao ni kuwa wale wa Zanzibar wanaweza anzisha hata vita kwa masilahi ya tumbo lake lakini hawa wa buguruni wana kawoga fulani inagwa nao pia hawafugiki kama kunguru wengine.
Kwa hili Wa Kenya watanisamehe kusema ukweli na uadilifu ni tabia yangu siku zote JAMANI HAMBEBEKI ILA MNAWEZA KUPRTND.NA MKO VIZURI ENEO HILO
hiii hiii pole,manake i can imagine mtu ndio ushapenda huko afu watu wanakuja kuwapaka namna hii :laugh::laugh::laugh::twitch:,i guess hawa wote hawawezi kuwa wrong wakenya ndio maana wanauana kwa ukabila-wana roho mbaya hawana uvumilivu kabisaaa,kuwa arogant kwao ndio kuwa respected:twitch::coffee: