franktemu123
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 1,406
- 1,480
kaka ni sahihi wanavaa vibaya kinyama ishu ndogo kwao kubwa...wanachukia saaana waislamu na wameambiwa hvyo tangu wadogo labda mombasa...wana matatizo snChomoka kabla halijazama,,, mimi yalinikuta... uzungu kwa sana hata baba yako anataka kuongea nae kama mshikaji tu.. mgogoro mdogo wanaukuuza why? kibao... kuhusu uvaaji ndo kabisa .... wao hujivalia tu na ushauri hawataki labda kama utamshauri kuvaa kihovyo... kwa sis maustaz ndo balaa kabisa labda wale wa pwani ya mombasa.... kifupi kaoe mganda wao wananidhamu lakini lakini si akina mwangi.... (anyway sio wote ) pesa mbele baba ake
Aoae mbali na kwao, asipodanganya anadanganywa. Mungu mwenyezi ndiye aliyeweka, dunia, mabaara, nchi akaweka na makabila. Mtu anayesema pasiwe na ubaguzi wa kikabila akumbuke kama ni ubaguzi alianza Mungu kwa kutugawa makundi ya Wanyakyusa, Wangoni, Wakenya Watanzania nk.
Unaweza kuoa Kenya au popote lakini lazima ujue tofauti zenu zitakuwa kubwa mno kuliko Mmbongo Mtz. Inatia shaka kama katika kabila lako lote hakuna wife material, mkoa, hadi nchi hakuna hadi Kenya? Na huyo mwanamke kwa nini hakuolewa kwao mpaka aje kuolewa Tanzania? Wanaume wenzako kwa nini hawajamuona wife material? Sio manung'ayembe huyo. Generalization sio kitu kibaya ila it needs to be taken with great care, majumuisho mengine yanafaida zake tusikariri tu ati tabia haihitaji generalization
Mke au mme mwema hutoka kwa huyo Mungu! Tumeona watu wameoana wa kabila moja na bado walidivorce, tumeona watu wameoana wa mataifa tofauti na wamekaa kwa ndoa zaidi ya miaka 50. Sso ndugu omba Mungu akupe mke au mme mwema. Mimi nimeolewa nje ya nchi niko mwaka wa 39 wa ndoa na sijawahi kuregret. Wazazi wangu ni wa makabila tofauti mpk leo wako kwa ndoa.
yaani mi MTU HANIDANGANYI KITU KUHUSU MADEMU wa kenya , , , , , rafiki nakwambia heri uchukue demu mkenya kuliko watz wanaohusudu uchawi na limbwata,suala la pesa halipo kwanza wengi wao ni wachakalikaji sio tegemezi,mademu wa bongo wako tayari akupe tigo umnunulie simu ya instagram,wenzao wakenya ni wachapakazi
Follow your heart......wengi wana wapaka tope wakenya coz wako na phobia hawajui kuhandle mwanamke aliewazidi may be kielimu and so on.......Ukikutana name barbie imekula kwako ukipata aliefundwa utastarehe......Don't listen to stories follow your heart & take your mind with you.
Jamani katika pitapita zangu nimekutana na kimwana mkenya, mwenye asili ya hukoo Nyanza.
Tumeanza ku-date kama miezi 6 iliyopita.
Ni mzuri wa sura na tabia yake so far ni poa. Mcha Mungu kiasi na shule kichwani imetulia, na ana career.
Kiswahili ndio hicho hicho cha kuvunjavunja.
Kwa kifupi so far tume-click! Kila siku naona hapa jamvini sifa za wanawake mara wa Kirangi, Kichaga sijui Wahaya and so on.
Nahitaji kujua sifa za hawa wadada toka Kenya.
Najua wengi wenu mmeshakumbana nao na mnawajua sifa na tabia zao.
Nahitaji kujua wasifu wao ili nijue kabla sijafika nae mbali huyu demu wa baba Moi ili nijue kama kusuka ama kunyoa.
Natanguliza shukran zangu!!