Inawezekana ni kweli kuwa kuna baadhi ya tabia ni common kwa watu wa kabila fulani,hilo naweza kubaliana nalo lakini isiwe kigezo cha kuchagua mke au mume! mapenzi yana uwezo wa kumbadilisha mtu sana.
My mom ni mhehe and my girlfriend ni mhehe,naweza taja vitu nilivyo viona common; 1.Wakikasirika ni hatari..wakali hao.
2.Wanajua kulea familia..sio wavivu
3.Wavumilivu
Mengine utayajua ukizidi kukaa nae.