Naweza kukubaliana na wewe, kuna rafiki yangu mmoja yeye aliachana na mkewe mmoja mwenye mchanganyiko wa kiarabu na kimanyema, baada ya kuachana naye akaamua kumuoa mke mwingine. Basi baada tu ya kuingia ndani jamaa akawa kila akitaka kufanya tendo la ndoa jogoo hasimami hata kidogo, lakini siku mwanamke akiwa katika siku zake, jogoo linasimama haina mfano na jamaa anakuwa na hamu ya kufa mtu, lakini siku zikiisha tu jamaa anarudia na hali ile ile. Aliteseka sana huyu rafiki yangu