kwa wanawake wa kichagga wa upande wa machame;
baada ya vita kuu ya kabila hilo miaka ya 1700 (mwishoni)
ilitokea wanaume wooote kuuawa na wa kibosho.
Kwa hiyo wanawake hao wakageuka(kubeba majukumu ya wanaume) vichwa katika kuendesha shughuli za kifamilia.
Hali hiyo iliendelea kurithishwa kutoka kizazi hadi kizazi.
Ubabe huu wa kuwa ma jike dume uliwainua kiuchumi na wachagga wa sehem nyingine wakaanza kuiga tabia hiyo.
Hivyo basi unapoowa watu hao jua kwamba wana taka wawe vichwa otherwise akukute kiuchumi uko vyema.
Pamoja na hayo yooote they can kill anytime.
Believe me.
...
Nami nasema wawapige tu. Tena sasa waanze kuwatieni bakora makalioni mwenu mpate akili zaidi. Na mpigwe tu.
Bwa shemeji lazima uishi kwa kanuni au sio? Mambo yakienda ovyo mnasaidiana na kuambiana tu.
Kuna mtu aliyekulazimisha uwafuate? huwezi si unaacha? yanini kulalamika mziki mbovu kumbe we ndio hujui kucheza?? Ukiona huwawezi we chapa lapa.... wanaowaweza watawachukua na wala hutasikia hiki kilio kama cha fisi mwenye njaa aliyekosa mzoga.
Mkuu, mi nashauri ule mtindo wa kuwaua kabisa urudishwe kwa ari mpya. Wananeng'eneka mno hawa vyasaka. Wakifa malalamiko hakuna...
OASN... wanaoanzisha hizi mada nahs huwa ni haohao wachagga wanatafuta tu kick.
Soon zitakuja zile za kuhusu kutembelea rombo, mara akuna km mwika, etc. Msimu umeanza....!!
wew ni mtunzi wa nahau na methali huna hoja ila ndo ubadilike ujumbe umekufikia, Man cant be be awoman and viceversa,,,,,take your postion. be apositive thinker sio ilimradi umepost!,,.kama kuna tatzo c ukubali tu mim kama nina tatzo nikiambiwa nafurahi sana coz inanipa nafasi ya ku change n cope with the morden world sasa wew endelea na methali zako za mwaka 1960 wakati wa uhuru this is 2014.
Lipi hilo la ukweli? Kwamba wadada wa kichagga wamewakalia kichwani mpaka mnalialia hovyo? Ni aibu sana kwa mwanaume kwa maana ya uanaume kulialia hovyo kupelekeshwa na mwanamke bila kujalisha kabila. Mwanaume wa kweli ndo mwenye kauli ya mwisho kwenye nyumba.
Kulialia kwa mwanaume kwa kisingizio cha uchagga ni kuzidi kuwapa wachagga heshima kuwa wanawake wa kichagga wamewashindeni nguvu. poor boys.
Nami nasema wawapige tu. Tena sasa waanze kuwatieni bakora makalioni mwenu mpate akili zaidi. Na mpigwe tu.
Daa mtihani huo nnao ndugu yani ugomvi na maneno mengi ya kuudhi;yani jamb jambo unakuta analalama kweli
wew ni mtunzi wa nahau na methali huna hoja ila ndo ubadilike ujumbe umekufikia, Man cant be be awoman and viceversa,,,,,take your postion. be apositive thinker sio ilimradi umepost!,,.kama kuna tatzo c ukubali tu mim kama nina tatzo nikiambiwa nafurahi sana coz inanipa nafasi ya ku change n cope with the morden world sasa wew endelea na methali zako za mwaka 1960 wakati wa uhuru this is 2014.
HISTORY OF CHAGGA PEOPLE OF KILIMANJARO BY Kathleen Mary StahlHeshima yako. Kuna sehemu popote naweza kusoma hii historia?
Hahaha....dah!!!
Bwa shemeji naona unawahesabu "ngauti" zako tu hapa. Dada zangu wanaonyeshaje kazi? Wape mbinumbinu bhana....
afadhali umwambie wewe labda atakulewa sisi alikuwa anatubishia tu.
Hahaha..bwa'she mie nacheka tu vile vidume vinavyohenyeshwa..hahaha!!!!
Hakuna kuumia hata,
Waache wabaki kusuta,sie tunaendelea kufunga mahesabu ya mwaka
ha ha ha huku tukiendelea kuomba pesa za chasaka ha ha ha