Knock life
JF-Expert Member
- Oct 11, 2024
- 2,468
- 7,733
Moja ya changamoto nillmezipitia ni kukaa na waswahili Nyumba za kupanga (Wanawake mbaya zaidi hawajasoma hawana Elimu .
Kwanza wachafu
Wambea
Wanawivu
Wana nguvu hasi
(Negative energy)
Kuhusu Wivu yaani wakikuona umenunua hata trey moja ya mayai inakuwa vita Kali Sana .
Ila finally nilijua ni umasikini tu na poor mentality
Hakika nilijifunza kwa njia ngumu Sana .
Kwanza wachafu
Wambea
Wanawivu
Wana nguvu hasi
(Negative energy)
Kuhusu Wivu yaani wakikuona umenunua hata trey moja ya mayai inakuwa vita Kali Sana .
Ila finally nilijua ni umasikini tu na poor mentality
Hakika nilijifunza kwa njia ngumu Sana .