The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,111
- 115,906
sio tu aghali, wengi hawana access, na mgao huu ni lazime wajiandae kufua majinzi wasilete za kuleta
kwa wasiomudu yes
but kama una uwezo huo why ugombane na mkeo..?
sio tu aghali, wengi hawana access, na mgao huu ni lazime wajiandae kufua majinzi wasilete za kuleta
sio tu aghali, wengi hawana access, na mgao huu ni lazime wajiandae kufua majinzi wasilete za kuleta
atwange mahindi na mashine zote zinafanya nini?????QUOTE]
Si ndo hapo jamani. Zama za mawe zimeshapita. Acha movie iendeleeee!..
Umeusahau mwandiko wangu?
Mi huwa najiuliza, kama washing machine ipo, kwanini mtu ajisumbue kufua? Kama trekta lipo, jembe la mkono unalitumia ili iweje? kwanini utwange mahindi kwa kinu, wakati mashine za kusaga zipo?
Na kama wanaume tupo, kwanini wanawake watwange mahindi.
Wanawake wanaonewa sana asee. Tena mnaonewa zaidi na wavulana. Mwanaume wa kweli hamtesi mkewe, bali anamtunza.
Wanawake wote semeni Amina.
Hao wenye uwezo wa kununua majenereta kwa kipato cha kazi zao halali bado wanaitwa wavivu?
wavivu kwa kazi za kike, waafrika tuna kazi za kike na kazi za kiume, tusisahau mira na desturi zetu. watu mkipata wageni toka kijijini mkikumbushia za kijijini mnalazimika kula ugali wa unga wa kutwanga kwa mkono, mama lazima awe tayari kwa hilo.
Mi huwa najiuliza, kama washing machine ipo, kwanini mtu ajisumbue kufua? Kama trekta lipo, jembe la mkono unalitumia ili iweje? kwanini utwange mahindi kwa kinu, wakati mashine za kusaga zipo?
Na kama wanaume tupo, kwanini wanawake watwange mahindi.
Wanawake wanaonewa sana asee. Tena mnaonewa zaidi na wavulana. Mwanaume wa kweli hamtesi mkewe, bali anamtunza.
Wanawake wote semeni Amina.
Mi huwa najiuliza, kama washing machine ipo, kwanini mtu ajisumbue kufua? Kama trekta lipo, jembe la mkono unalitumia ili iweje? kwanini utwange mahindi kwa kinu, wakati mashine za kusaga zipo?
Na kama wanaume tupo, kwanini wanawake watwange mahindi.
Wanawake wanaonewa sana asee. Tena mnaonewa zaidi na wavulana. Mwanaume wa kweli hamtesi mkewe, bali anamtunza.
Wanawake wote semeni Amina.
Tufanye kwa mfano mkeo ni mfanyakazi. Mnadamka wote kwenda kibaruani. Na wote mnarudi late hours. Afu bahati nzuri kipato chake kiwe sawa na chako. Bado utamwita mvivu kwakuwa anafuga kucha na hatwangi mahindi ya makande?