Wanawake wa JF mbona hamjibu Private messages?

Poabana
Yote maisha
Kikubwa uhai
Screenshot_20200323-151450.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanaume wengi hawajielewi kabisa mtu anakuja pm badala ya salamu anaanza oyo uko pande za wapi? **
Hiyo hapo number nitafute whatsap utadhani alininunulie yeye simu **
Mara ooh wewe mrembo sana naomba picha sijui nani kamwambia kuwa nagawa picha

Lugha zenu sio nzuri kabisa !! Halafu wengi kujimwambafai kwingi wakati wanashindia mihogo .....** Badilikeni ....vingine mtakuwa mnakaushiwa sana ...na ukiona mwanamke mrembo jua huyo tayari ana mtu wake
Tafuta na ww wa kwako mtengeneze awe kama unavyopenda

Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo slay

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom