wiseboy.
JF-Expert Member
- Aug 11, 2014
- 2,931
- 4,549
Mimi ni kijana mzuri kabisa jamani, japokuwa sijaweka picha ila siyo siri I'm handsome.Sasa niliweka tangazo katika jukwaa la MMU kuwa nataka kuoa.
Nikatarajia kuwaona kina Tinacute, miss chagga, neggirl masai dada, Heaven on Earth Apologize lady na wengine wengi wakija mbio pm kuigombea nafasi adimu ya kuolewa na milionea kijana,lakini wapi hadi sasa sijapata hata pm moja.
Jamani au kwa kuwa mmeshanizoea sana ndo mnaamini kuwa sitaki kuoa? Hebu jitokezeni warembo jamani,tena sina vigezo vyoyote ni bora tu uwe na akili timamu mengine yote yatafuata baadae.
Nawasilisha
Nikatarajia kuwaona kina Tinacute, miss chagga, neggirl masai dada, Heaven on Earth Apologize lady na wengine wengi wakija mbio pm kuigombea nafasi adimu ya kuolewa na milionea kijana,lakini wapi hadi sasa sijapata hata pm moja.
Jamani au kwa kuwa mmeshanizoea sana ndo mnaamini kuwa sitaki kuoa? Hebu jitokezeni warembo jamani,tena sina vigezo vyoyote ni bora tu uwe na akili timamu mengine yote yatafuata baadae.
Nawasilisha