miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
ingia pm tongoza mmoja mmoja
20 na ngapi? Nina miaka 32.We mdogo sana kwangu.
kishasema ye ni milionea...bado unauliza hela anayo!! acha ulimbukeni
Mmeanza kunitukana,nikiwajibu,ooh wiseboy mkorofi,haya endelea sasa...Nikikutukana na mimi usije kulia tu.
Hahaha hawa man city nani kawarogaaaaa!!Hahaaahaa Man City waleee, wapuuzi waleee.... Wanacheza hovyo hvyo walee.... Wanawayawaya tuuu... Sijui wamekula maharage ya wap waleee... Wanalewalewa, wanakua kama watoto wadogo, waliovaa pampas.... Pelegrini mpuuzi yuleee... Nlikua namheshimu xana.... Lakini naye anawayawaya tuuu, anafanya vitu hovyo hovyo tuuu... Kama wachezaji wakee waleee.... Na mm nasemaaa, "Naakomeeeeeee kuja OLD TRAFFORD...."
Ulijaribu wangap.??Mbona mimi mwenyewe hawanitaki mbona sitangazi
Ulijaribu wangap.??
mbona wanikatisha tamaa mkuu...mana na mm nlkua na mpango huo.kama kumi hivi wote cha mbavu hawajui kama mimi naniliu hawa
mbona wanikatisha tamaa mkuu...mana na mm nlkua na mpango huo.