Wanawake wa JF hawanitaki

Wanawake wa JF hawanitaki

Hehehe mkuu umenifurahisha sana,hana tofauti na wale vijana wanaojiita wasanii kwenye komedi huku wakivaa taiti na uhalisia wa kike.
 
Nisamehe bana tuyamalize,usiponisamehe nitaanza kutembea na bastola nikikukuta na mwanaume popote pale naku ufosaro bila huruma hakyanani.

Tatizo na wewe unaongea sana mpige makofi ya noti kama kila utakachoandika like kibao.
 
aisee kizazi hiki..eti kijana mzima unajisifia kuwa wewe ni handsome...aisee yaleyale ya akina richi mavoko kujichubua na kusema eti ameng'aa...sijui mna makamas kichwani?? ndo mana mitikiti maji imeongezeka mtaani....

hahahaha wakin rich mavoko wako wengi kweli kama una hela watakuja wenyewe tena unakula hata hujatongoza
 
kishasema ye ni milionea...bado unauliza hela anayo!! acha ulimbukeni

yeye akiwa milionea bakhresa atakuwa nani? na nani aliyekuambia kuwa umilionea ndiyo suluhisho la kila jambo? mbona umemjibia au wewe ndiyo mamsapu wake? muwe mnaweka picha zenu halisi ktk avatar tuone nyago zenu zilizochoka na acheni kutuwekea picha za watu wengine na wenye dalili za kuweka picha za watu wengine mara nyingi huwa ni mashoga au nawe ni 1 wapo?
 
Ndo tatizo la kusoma topic na kurukia kujibu bila kuelewa,nimesema mimi ni milionea kijana.

milionea ungepata shida zote hizi? acha ulofa wako kajifunike shuka ulale tu na usituletee mazingaombwe yako humu jamvini?
 
We jamaa umebaka uzi soma kwanza kilichopo ndani!

uwezo wako mdogo wa kufikiri kama wa mleta mada ndiyo unakufanya usinielewe na siyo tatizo lako bali ni mfumo wenu tu wa kitaaluma!
 
Kuna wakati mwingine huwa najiuliza kama wanadamu wote hutumia akili...
 
Mwenye nacho huwa hakioni ila anaekiona ni mwenzie.
 
Ndio matatizo ya Akili kuzeeka katika umri mdogo. Pole sana ndugu.
 
Hahaaahaa Man City waleee, wapuuzi waleee.... Wanacheza hovyo hvyo walee.... Wanawayawaya tuuu... Sijui wamekula maharage ya wap waleee... Wanalewalewa, wanakua kama watoto wadogo, waliovaa pampas.... Pelegrini mpuuzi yuleee... Nlikua namheshimu xana.... Lakini naye anawayawaya tuuu, anafanya vitu hovyo hovyo tuuu... Kama wachezaji wakee waleee.... Na mm nasemaaa, "Naakomeeeeeee kuja OLD TRAFFORD...."
Huko kwingine sina ishu nako.
Ila hapo kwenye mkolezo; Je unao utani na Mtu eee?? Yakikukuta mi simo.
 
yeye akiwa milionea bakhresa atakuwa nani? na nani aliyekuambia kuwa umilionea ndiyo suluhisho la kila jambo? mbona umemjibia au wewe ndiyo mamsapu wake? muwe mnaweka picha zenu halisi ktk avatar tuone nyago zenu zilizochoka na acheni kutuwekea picha za watu wengine na wenye dalili za kuweka picha za watu wengine mara nyingi huwa ni mashoga au nawe ni 1 wapo?

Mkuu acha kutoboa siri zako.
 
aisee kizazi hiki..eti kijana mzima unajisifia kuwa wewe ni handsome...aisee yaleyale ya akina richi mavoko kujichubua na kusema eti ameng'aa...sijui mna makamas kichwani?? ndo mana mitikiti maji imeongezeka mtaani....ungekuwa ndo mwanangu nakubadilisha hata na kopo la mkaa nipikie
Aisaee wewe humbakishi mtu !! you made me laaaaugh!
 
Hongera sana Wiseboy kwa kufikia hatua hiyo ila wanawake wakuoa hawapatikan huku
 
people are taking this platform so serious, and creates internal emotions full of anger, end of the day spit fck towards mtoa mada.. U people mlojaa sumu na kuongea utumbo juu ya mtoa mada, woooote hamna akili.... Mngekuwa nazo hata kidogo mngegundua mtoa mada anachangamsha jukwaa siku iende.. Ila akili zetu ka matobo ya panya mnaanza kuponda ponda.. Anzisheni nyuzi zenu na nyinyi mjiite ugly, poor, shoga n.k tutachangia pia!!! Aaaarrrrrggggghhh mazakanywafanta gadencity all!!
 
Back
Top Bottom