masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,797
- 16,804
Hehehee... Tena wewe ndo nakupenda sana hebu ukuje pm tuyamalize.
ulishanikataaga
Hehehee... Tena wewe ndo nakupenda sana hebu ukuje pm tuyamalize.
Wiseboy, kabla sijaja pm hebu fanya kunipa miamala yako yote ya:
m-pesa, tigopesa, airtel money, ACC za benk n,k
Kisha nitakimbia kuja.
...mmh..
yaliyopita c ndwele...
wise_boy.
wa humu jf wajuaji sana...
kama uhamini ngoja, misschaga aje!
Nisamehe bana tuyamalize,usiponisamehe nitaanza kutembea na bastola nikikukuta na mwanaume popote pale naku ufosaro bila huruma hakyanani.
usikonde mama,njoo pm uniambie tatizo lako lolote lile nitalitatua ndani ya masaa manne tu,chezea pesa weye?
Nisamehe bana tuyamalize,usiponisamehe nitaanza kutembea na bastola nikikukuta na mwanaume popote pale naku ufosaro bila huruma hakyanani.
Hivyo hivyo ulivyo ndo mtamu sasa,kina misschagga watanisumbua.
Usikatishe watu tamaa mi muoaji bana!
kutoa likes tu imekushinda,sembuse kutuma hata hela ya vocha....#mkonowabirika
:lol::lol:....
lakini amesema wazi wazi kwamba yeye ni bilionea!
Ina maana anatumia device ambayo hata like haiwezi toa?:shocked:
serious??:tape2::tape2: