wanawake wa humu majanga

wanawake wa humu majanga

yaana wakati anapigwa alikuwa anachati na wewe maana umesema kakwambia anapigwa na mkanda wa chuma na mumewe

eti anakufa na anapigwa na mkanda wa chuma na mumuwe

UKIWA MUONGO PANGA VIZURI VERSE
 
heee makubwa, ila huyo atakuwa muongo hivi mtu anaepigwa hata kama si kwa mkanda wa chuma ile kupigwa tu kawaida kwa makofi ana uwezo kweli wa kushika simu na kuanza kutuma msg? au alituma baada ya kuwa kipigo kimeisha, lakni pia haiwezekani ukishafumaniwa ukala kichapo hata hiyo simu utakuwa unaigopa. But all in all ndo mana kila mara zikija hizi topic za mahusiano ya kwenye mitandao huwa tunawaonya jamani muwe makini ukweli ni kwamba its not a safe place kwa mahusiano japo wapo wachache wanaofanikiwa lakini kwa majority ni majanga
Waambie mrs wa watu,maana naona wamekazana kweli kutafuta humu jamani wanawake waliopo humu ndiyo hao tunaopishana nao kariokoo na mitaani mwetu
 
yaana wakati anapigwa alikuwa anachati na wewe maana umesema kakwambia anapigwa na mkanda wa chuma na mumewe

eti anakufa na anapigwa na mkanda wa chuma na mumuwe

UKIWA MUONGO PANGA VIZURI VERSE

Afu kibaya zaidi anachat na huyohuyo mtuhumiwa. Hii hadithi hata Shigongo asingeichapisha.
 
Back
Top Bottom