Ha
Ha ha ha ha ha daaah hatariiiiSiyo wote mkuu, wale wanawake wa mbagala wanavaaga vikaputula vya jinsi kwa ndani.ili iwe rahisi kuficha hela wanapokwenda fery.sema sasa joto ukichanganya na maji chumvi mapaja yao yameunguzwa na fangasi rangi inakuwa na mabaka mabaka kama chatu.kama kausingizi kalikupitia hapo kitandani ukiamka kwa ghafla macho yakagongana na paja unaweza kimbia