Sniper don
JF-Expert Member
- Sep 30, 2018
- 288
- 463
Warembo wa jf wameshajua kua wewe ni daktar na unamiliki gari.ni watu wachache sana ambao tumekuelewa mkuu..lipia tangazo sasa
hiyo ndo reality labda wewe ukiwa wa kwanza kuleta mapinduzi.Acha fikra potofu
ngoja akarukishwe kichura chura apate akiliHa ha ha, alichoniacha hoi, kaachiwa contact seat ya nyuma, maana yake hajapigiwa, ila yeye kapiga simu kwa yule mama.
Sasa iweje alalamike wkt ndiye aliyepiga? Wanamme wa dar buana, ni nuksi tu
Jaribu kufikiri kabla, ngoja nisikujibu vibayaMbona hapo wewe ndio ulie anzisha story? kama kweli hukua na haja nae unge chana number au ungetupa,halafu haya mambo unayo sema ni ya kike mwanamme kweli unasema yalotolea njiani hata 24hrs bado wala hujui anakuitia nini?
haya bora salama ila sio sawa.
kabisa hapa ndipo alipolenga haswaa!Warembo wa jf wameshajua kua wewe ni daktar na unamiliki gari.ni watu wachache sana ambao tumekuelewa mkuu..lipia tangazo sasa
Alikuachia number kwenye seat ; hujasema kama ulimpatia number yako; kama sijakosea wewe ndio ulianza kumpigia baada ya kuachana ...mbona ulimtafuta ulitegemea akuambie nini labda?Habari wana jf.
Leo asubuhi saa 3 ,nilikuwa njiani natoka kazini narudi home.Nakaa maeneo ya ukonga,kufika tazara nyuma kidogo ya jeti, mama mmoja hivi mwenye hadhi akanisimamisha, huwa sina kawaida ya kuendesha kwa speed kubwa sana.
Kwa haraka haraka baada ya kusimama yule mama alikuwa anampeleka bhana wake airport.akaniambia kaka samahani naomba msaada gari yangu inavuja mafuta kwenye injini (kweli ilikuwa inavuja wese) ,nikamuuliza msaada gani ulitaka,akaniambia nampeleka mume wangu airport ,nikamwambia sawa wekeni mabegi niwape msaada.
Nilifanya kama msaada ,mama yule akashukuru kweli,akaniachia contact kwenye siti la nyuma.
Nikajiuliza kwa nini ameniachia hii namba? Na mpaka mda huu nimeongea naye yule mama ameniambia mume wake anafanya kazi kwenye ubalozi moja hivi nchi ya wenzetu.Nikamwambia ni vizuri.
Sasa mda huu ndani ya saa moja hivi amenitumia meseji kuwa nashukuru sana daktari kwa msaada wako,tunaweza kuonana jioni?
Mpaka sasa nashindwa kumjibu huyu mama.
Najiuliza ni nini tena anataka kwangu,na angejua mi siyo mtu wa kupenda sketi,maana lazima nijiulize sasa haya maswali.
Nitaenda kumuona ila akiniletea habari za kijinga kama mapenzi nitamcharaza makofi za kutosha maana mimi sipendi ujinga hata kidogo.
Na nitaleta mrejesho humu.
Mpe huduma mama afurahi..Kama anazingua ni PM namba zake.Habari wana jf.
Leo asubuhi saa 3 ,nilikuwa njiani natoka kazini narudi home.Nakaa maeneo ya ukonga,kufika tazara nyuma kidogo ya jeti, mama mmoja hivi mwenye hadhi akanisimamisha, huwa sina kawaida ya kuendesha kwa speed kubwa sana.
Kwa haraka haraka baada ya kusimama yule mama alikuwa anampeleka bhana wake airport.akaniambia kaka samahani naomba msaada gari yangu inavuja mafuta kwenye injini (kweli ilikuwa inavuja wese) ,nikamuuliza msaada gani ulitaka,akaniambia nampeleka mume wangu airport ,nikamwambia sawa wekeni mabegi niwape msaada.
Nilifanya kama msaada ,mama yule akashukuru kweli,akaniachia contact kwenye siti la nyuma.
Nikajiuliza kwa nini ameniachia hii namba? Na mpaka mda huu nimeongea naye yule mama ameniambia mume wake anafanya kazi kwenye ubalozi moja hivi nchi ya wenzetu.Nikamwambia ni vizuri.
Sasa mda huu ndani ya saa moja hivi amenitumia meseji kuwa nashukuru sana daktari kwa msaada wako,tunaweza kuonana jioni?
Mpaka sasa nashindwa kumjibu huyu mama.
Najiuliza ni nini tena anataka kwangu,na angejua mi siyo mtu wa kupenda sketi,maana lazima nijiulize sasa haya maswali.
Nitaenda kumuona ila akiniletea habari za kijinga kama mapenzi nitamcharaza makofi za kutosha maana mimi sipendi ujinga hata kidogo.
Na nitaleta mrejesho humu.