Bulaya001
JF-Expert Member
- Dec 21, 2018
- 6,116
- 6,827
INASEMEKANA:
Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima huku Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.
Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.
Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2, Bilioni 1 tayari wamekwishaoa, Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili na hivyo Wanabaki wanaume bilioni 1 tu
Milioni 500 hawana kazi, Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja, Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.
Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa, Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.
Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume
Sent using Jamii Forums mobile app
Idadi ya watu inafikia bilioni 7.8 dunia nzima huku Wanawake ni bilioni 5.6 Wanaume ni bilioni 2.2.
Hapo utaona busara inamtaka kila mwanamke kujitafakari kabla ya kumkataa mwanaume, au kukataa ndoa ya uke wenza.
Zingatia kwamba, kati ya hao wanaume bilioni 2.2, Bilioni 1 tayari wamekwishaoa, Milioni 200 wako jela na wenye matatizo ya akili na hivyo Wanabaki wanaume bilioni 1 tu
Milioni 500 hawana kazi, Kumbuka asilimia tano (5%) wamo kwenye ndoa za jinsia moja, Asilimia tatu (3%) ni mapadri wa Katoliki. Hawaoi.
Asilimia kumi (10%) ni ndugu wa damu. Hawawezi kukuoa, Asilimia ndogo inayobaki ni wazee kuanzia miaka 80.
Naongezea hapo hatujawatoa wenye upungufu wa nguvu za kiume
Sent using Jamii Forums mobile app


