Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,987
- 1,210
Kama mke wanguK
Kama nani vile?
Kama mke wanguK
Kama nani vile?
Wewe vipi huwa unajituma au ndo walewale???.Sasa unaanzaje kukosa vyote? Sura huna....umbo huna....jamani na kujituma usijitume....loh huo utakuwa undezi sasa.
ndiyo walewale........Wewe vipi huwa unajituma au ndo walewale???.
Habarini zenu nyie watu?katika hangaika zangu za wanawake,na katika tabia zangu za chapa ilale na tabia ya kizee ya kutochagua kofia,tabia yangu ya kuishi kama jogoo la kienyeji ya kupanda jike lolote hata kama akiwa shemeji,nimejikuta nimebabua watoto kibao,wazuri,na wale ambao sio wazuri yaani "ugly face" ,ila nimegundua kwamba wanawake wazuri asilimia 99% hawajui mapenzi kabisa,ila tu tunawapenda kwa sababu ya mvuto ukiwa nae,ila kunako 6\5 hawajui kitu.ila ukikutana na wale wabaya wa sura hadi maumbo bhanaaaa,heeee utakimbia,yaani wanajua kumlidhisha mwanaume vibaya sana,ndio maaana unashangaa jamaa ni mkali ila anadate na demu ambae hata hawaendani,kama wewe unaungana na mimi unahisi ni sabab zipi zinazopelekea hayo yote??
NB:najisifia kitu nnachojua na nilichoweza kufanya,iwe ni kibaya au kizuri mi najisifia tu.na usiongelee mambo ya pesa hapa.
Kabisaaaaa umenena....maana kumuita mwenzio 'Ugly face' khaaa...utakuta yeye hana hata wakusingiziwa.Asiyeumba haumbui......kijana nani amekupa mamlaka ya kuwaita viumbe wenzio wabaya...au unadhani hao unaowaona wazuri walimpa nini muumba hadi wakaumbwa hivyo....?? Hiyo ni kufuru...vitabu vinasema kuwa sisi wote tumeumbwa kwa mfano wa Mungu sasa wewe ni nani hadi ukosoe uumbaji wa Mungu....
Turudi kwenye mada....
Kuridhika kitandani ni mada pana sana kwani kila mtu anastahili yake ya kuridhika....kuna wengine kuridhika kwao ni kitendo cha yeye kushusha mzigo....kuna mwigine kuridhika kwake ni kumsugua mwanamke masa manne....kwa kifupi sio kila litakalo kufurahisha wewe basi kila mtu litamfurahisha.....
Hahaha ukizima taa paka wote weusi...Shida kubwa niliyo nayo miye ni kuhusu mwanamke mzuri na mwanamke aso mzuri. Weye unaona nini kizuri? Je ulichokiona kizuri ni lazima nikione kizuri?? Nina kamsimamo kangu; Ukiweza kumwogesha, ukamvika nguo za kimitindo, hata ka uso wake ni ka fenesi, akiangalia kuleee weye unayekuja nyuma tirari utamwona bomba.
Jamani, uso si kitu, kitu mashine yake. Ukizima taa paka wote ni weusi.