Wanawake tuwe waelewa tukiwa kwenye ndoa jamani

cutelove

JF-Expert Member
Oct 3, 2017
3,317
7,509
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe

Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma

Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia

Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu

Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu

Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida

Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura

Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"

Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,

Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo
 
Tutafuteni pesa mabaharia la sivyo tuta-aibika sana na hawa rafiki zake shetani

Nb mwanamke ndo kiumbe pekee aliyeonana ana kwa ana na shetani na wakapiga story mwisho wa siku wakakubaliana kula tunda

So nikisema mwanamke ni rafiki yake shetani namaanisha hamuwezi kukubaliana kama hamn urafiki
 
Sijuii huwa tunakwama wapi jamani!

Mwanamke yupo kwenye ndoa na bado hajui jukumu la familia ni la baba na mama, yaani mke na mume!

Mipango inatakiwa iwepo kabla hata ya kuoana, sijui kama wanaume huwa wanaliwaza hili... Mwanaume Jaribu kukwama siku moja uone kama mpenzi wako ama mchumba wako atakusaidia au ndo atanunaa!!
 
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe

Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma

Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia

Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu

Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu

Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida

Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura

Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"

Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,

Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo
Nakushauri ufanye mapinduzi hapo mkuu,angalau ukampe faraja ya maisha.
 
Mwanamke umebahatika kupata mwanaume wako wa ndoa,mnaishi vizuri tu,lakini kwa nini sisi wanawake tunakuwa tunawategea wanaume na huku unajua fika hali ya mmeo? Na huku tuna ingiza vipato vyetu wenyewe

Kuna mkaka nimemuonea hadi huruma

Huyu kaka ni mfanyakazi wa serikali na mke wake pia

Siku za hivi karibuni amemaliza chuo,ila gharama za chuo alikuwa anajigharamikia kwa kiasi kikubwa na kulingana na maisha ya chuo na gharama ,aliweza kukopa kwenye Benki moja hivyo kwa wastani kwa makato ya mshahara wake ,mshahara ukawa mdogo sana,na ulivyotoka wa mwezi uliopita alilipa kodi ya nyumba na nyingine kwenye shughuli za kilimo,akawa hana kitu

Na bahati nzuri mke wake anajua hali yake ya uchumi na kila kitu

Sasa leo mke wake kasafiri kwenda nyumbani kwao,na kwa vile mke wake anajua hali ya mme wake,mwanaume akafikiri mwanamke angefanya shopping ya mahitaji ya ndani kabla hajaondoka ili watoto wao watatu na mmewe wasipate shida

Lakini mwanamke hakununua mahitaji ya ndani ameondoka kwenda kwao akisema wazazi wake wamemuita kwa dharura

Mwanaume alivyojaribu kumuuliza "Mbona umetuacha bila kitu ndani?

Majibu ya mwanamke" Hivi wewe si ndo mwanaume, yaani unadiriki kuniambia jambo kama hilo,kwani mimi ndo mwanaume wa familia,wewe fanya mpango mle na wanao lakini sio kuniambia mambo ya ajabu"

Loh! Kaka wa watu mpaka nimemhurumia,

Jamani na sisi wanawake tuwe na utu,familia ni ya wote, na kama mwanaume hali si nzuri,ajibika asilimia 100,lakini si kwa roho mbaya hiyo
Niwe muwaz tu japo mimi ni ke,, ikiwa mwanamke anafanya kazi na hela yake haiwez kusaidia chochot n bora aache kazi nijue kimoja tu kwamba n house wife,siez kuvumilia kula chakula cha house girl na watoto wangu wanalelewa na house girls wakat unafanya kazi isokuw na faida kwangu
Ok conclusion n kwamba sisi binadam ndo tunalea matatizo kila mtu akisimama kwenye nafas yake haya hayawez kuwepo,tujitahd kudeal na future kuliko kupelekwa na mihemko
Note,s jukumu la mwanamke kutunza familia lakn kama anakipato n lazima hela iwe kwenye mipango sio umeme ukate et lazma mme aweke asee wanaume tumien akil
 
Back
Top Bottom