estlyjonathan
Member
- May 26, 2016
- 84
- 122
Kwa hiyo mimi mario siwezi kukupata??Hivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
moyo wako niupeleke wapi? kila mtu kapewa mwili atembee naoKwa hiyo mimi mario siwezi kukupata??
Nakupa moyo wote free kabisa uumiliki inavyotaka.
.............mbaNi kweli mario wanajua sana kuto................
Maisha ndo yalivyo dada mlichokuwa mkipigania cha 50 kwa 50 mmekipata. Siku hizi kazi zimekuwa adimu kweli na nyie wadada ndo mnapewa kipaumbele. Tulieni dawa iwaingieHivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
Haya muache haraka saana Huyo Marioo then katafute wakukupa hela alafu hakufikishi kitonga.Hivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
Aache hyo tabia sababu wewe umesema au aache sababu ana sababu ya kuacha /kutoipenda?Hivi kwa nini wanaume tegemezi kwa jina lingine mario wanapenda sana kulelewa? Halafu sasa kwa kuwa wanajua kabisa hapa ni kupiga kitonga wanakuwaga wajuzi kweli ya ku**mba au lugha nyingine wanajua sana mapenzi kwenye 6x6.
Upande wangu hii tabia siipendi kwa kweli. Yani nianze tu kumpa baby wangu pesa nop raha ya mwanaume akupe, akutunze. Kama wewe mwanamke una hio tabia acha.
Yani kama mlikuwa hamjui, hapo atakutumia weee ukiwa hauna humuoni, atakukimbia kama gari la mwendo kasi.
Hehehe speaking from experience au?Ni kweli mario wanajua sana kuto................
halafu haijawahi tokea mariooo akadumu na mtu kabisaaa! anajiegesha tu akipata vijisenti utamtambua! hakujui hakutambui mtu kamkojoza mtu miaka 15 alivyojiweza kajitoa ufahamu busy na mademu