kwetumasoko
JF-Expert Member
- Aug 24, 2016
- 866
- 517
Wanajamii
Naombeni kuuliza, hivi mnapokuwa katika mapenzi kati ya mwanamke na mwanaume lengo linakuwa ni nini hasa? Na kama lengo ni kushare katika mapenzi (kugegedana) na kila mmoja huwa anafaidi mautamukutokana na tendo hilo (kutoana stress)
Sasa linakuja swali moja hapa kwa nini wanawake wanageuza mapenzi kuwa pesa, utakuta anamuomba mpenzi wako pesa kana kwamba kutokana na lile tendo unadai malipo, basi ieleweke tu kwamba mnapokuwa katika uhusiano, mwanamke umweleze mpenzi wako kwamba sawa tunakuwa katika mahusiano ila papuchi nitakuwa nakuuzia, kwa sababu imegeuka kuwa kero, musitufanye ATM, munakera! kwana raha ya tendo tunaona sisi wenyewe?
Naombeni kuuliza, hivi mnapokuwa katika mapenzi kati ya mwanamke na mwanaume lengo linakuwa ni nini hasa? Na kama lengo ni kushare katika mapenzi (kugegedana) na kila mmoja huwa anafaidi mautamukutokana na tendo hilo (kutoana stress)
Sasa linakuja swali moja hapa kwa nini wanawake wanageuza mapenzi kuwa pesa, utakuta anamuomba mpenzi wako pesa kana kwamba kutokana na lile tendo unadai malipo, basi ieleweke tu kwamba mnapokuwa katika uhusiano, mwanamke umweleze mpenzi wako kwamba sawa tunakuwa katika mahusiano ila papuchi nitakuwa nakuuzia, kwa sababu imegeuka kuwa kero, musitufanye ATM, munakera! kwana raha ya tendo tunaona sisi wenyewe?