jamani mzabzab kwahiyo hilo la pili lingempa faida gani
HAHAHAAAAAAAAA! Sizitaki hizi mbichi! Maneno ya mkosaji nayo! Yannipaga raha kweli kweli! Kama HUNA THE VIGEZOS AND MASHARTIS! Kojoa Ulale eeeh mtoto mzuri! Hili Goma waachie waliobarikiwa na Bwana kila IDARA!!!!!!!!!!! Upo hapo!
Hahahaaaaaaaa! Kuwapata sio ishu mkuuu! Nishawapat kibaooo, na bado nawapata! Versy easy! Tatizo lao wana Big Ego! Kudumu nao ndo ishu kweli kweli!!!!! Hapo maombi yanahitajika haswaaaaaaa!!!!!
Hajamuudhi wa kwetu jamaa ni mpole sana pia mkimya na ameokoka demu wake ni mropokaji sana si mara ya kwanza huyu demu wake kumtusi bt jamaa alikuwa anamsamehe bure,wakat mwngn demu wake alikuwa anaondoka hazpiti wk mbli anajrudsha wanaendelea kuishi,now imekuwa too much hasa baada ya demu kupata kaz jamaa bado anajtafutia kaz huku anapga vitempo vya hapa na pale,mi nimemshauri jamaa yng aachane nae na akapange kivyake.
endelea kuwapata na wanakutumia vilivyo kukakeki na tigo naje umeshawapa wangapi?maana kwako ni dau tu,nb: wanawake hua mna vpind kuna kpnd ktafka hakuna anaekutaka tena nawe utahtaj mume hata unaowazarau hawatakuhtaj ww lyana ibilisi.
Kila nikikusoma kiongozi naona ni kama wewe vile " samahani lakini "ulza ujibiwe achana na prejudgement mtu mzma wa kwetu,mi hawa watu nawajua A-Z nmesoma nao na hapa walpo ni majran zangu,huwa wamejiwekea utaratbu wa kununua menu ndan unakuta jamaa akpata ananunua kama ni unga kiroba,maharage ya kutosha na demu ake nae vivyohvyo akpata anafanya hvyo tatzo mmeng'ang'ania eti jamaa anafugwa achen hzo bana.
Usisuse mama, halafu kanijibu swali langu kule kwenye white partyNAKUHESHIMU SANAAAAAAAAAAAA! Jiangalie!!!!!
Nimekuheshimu nimekuja kuchangia thread yako then UNANITUKANA?????? KAMA NITACHANGIA CHOCHOTE UTACHOANZISHA MAISHAAAA YAKO!!!!!!
achana na huyu mwanamke always women are devil, cheki walimuua Samson,walimsaliti Adam.
sawa mkuu tamfkshia zote jumbe zenu may God bless u.
Mtu kaomba ushauri nyie mnaanza kashifa si ubinadamu bt all in all only God know,ndiyo kauli ya jamaa anayoisema,jamaa hatunzwi na mwanamke kama mnavyodhan anajitegemea na msosi ananunua na kodi ya chumba anatoa na aliyetaka waish wote ni demu mwenyewe over! Out of hapo endeleen na kashfa zenu wanawake hamna shukran dunian hapa tunapta tu,nyambafu pesa ztakufksha wapi?jamaa yng namuonea huruma he is a man of ze people.
hapo kwenye red! mlokole gani aliyeokaka alafu anafanya uzinzi!labda MUNGU anataka kuwatenganisha jamaa aache zinaaHajamuudhi wa kwetu jamaa ni mpole sana pia mkimya na ameokoka demu wake ni mropokaji sana si mara ya kwanza huyu demu wake kumtusi bt jamaa alikuwa anamsamehe bure,wakat mwngn demu wake alikuwa anaondoka hazpiti wk mbli anajrudsha wanaendelea kuishi,now imekuwa too much hasa baada ya demu kupata kaz jamaa bado anajtafutia kaz huku anapga vitempo vya hapa na pale,mi nimemshauri jamaa yng aachane nae na akapange kivyake.
msamehe bureeee! hajui alifanyalo huyoooo!NAKUHESHIMU SANAAAAAAAAAAAA! Jiangalie!!!!!
Nimekuheshimu nimekuja kuchangia thread yako then UNANITUKANA?????? KAMA NITACHANGIA CHOCHOTE UTACHOANZISHA MAISHAAAA YAKO!!!!!!
Jamaa yangu alipata mpenzi tokea first yr mpaka wanahitimu walikuwa wanaish wote jamaa alikuwa amepanga,demu kwao kdogo hazkuwepo so loans hyohyo ndo alpe ada na matumiz,jamaa kwao alikuwa analipiwa ada na mkwanja kdogo alipewa plus loans so akawa anampga tafu demu wake,mpaka wamehtimu wamendelea ishi wote tena hawana kaz jamaa akawa anafunsha tuition ndo wanapata hela ya kula,demu akawa yupo tu,wakat mwngn walilala bla kujua kesho watakula nn?mara demu kapata ajira kwan alsomea ualimu,akapangiwa dsm bas demu wake akahama kwa jamaa akapanga rum yake,jamaa akaendelea na maisha yake akawa anamtembelea demu wake,wakashauriana wachange wachukue chumba na sebule waish wote wakafanya hvyo,wakaanza ishi wote,huku jamaa anapga tempo ya kufundsha mara demu kabadlika kaanza mtukana jamaa mara demu aknunua kama ni mchele hatak jamaa auguse,matus kama ms.ng.e,mpumbavu,unafilwa,mjinga yametawala jamaa hajui afanye nn? Ushauri plz.
achana na huyu mwanamke always women are devil, cheki walimuua Samson,walimsaliti Adam.