EL ELYON
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 1,675
- 2,115
Jamaa yangu alipata mpenzi tokea first yr mpaka wanahitimu walikuwa wanaish wote jamaa alikuwa amepanga,demu kwao kdogo hazkuwepo so loans hyohyo ndo alpe ada na matumiz,jamaa kwao alikuwa analipiwa ada na mkwanja kdogo alipewa plus loans so akawa anampga tafu demu wake,mpaka wamehtimu wamendelea ishi wote tena hawana kaz jamaa akawa anafunsha tuition ndo wanapata hela ya kula,demu akawa yupo tu,wakat mwngn walilala bla kujua kesho watakula nn?mara demu kapata ajira kwan alsomea ualimu,akapangiwa dsm bas demu wake akahama kwa jamaa akapanga rum yake,jamaa akaendelea na maisha yake akawa anamtembelea demu wake,wakashauriana wachange wachukue chumba na sebule waish wote wakafanya hvyo,wakaanza ishi wote,huku jamaa anapga tempo ya kufundsha mara demu kabadlika kaanza mtukana jamaa mara demu aknunua kama ni mchele hatak jamaa auguse,matus kama ms.ng.e,mpumbavu,unafilwa,mjinga yametawala jamaa hajui afanye nn? Ushauri plz.