Maharage ya mby n mepes kuiva hayooo,ndo payer maana kafananisha jile.
Fafanua basi. Na maharage ya Mbeya yameingiaje hapo?
ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....
Hapo unataka kuniambia nn?
ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....
Hapo unataka kuniambia nn?
yaani ni mchele mchele.ukikaa naye siti moja ktk basi moja kwa safari ndefu ya kutoka dar kwenda kwa mfn mbeya,bukoba,mwanza nk,ukimtongoza tu,kabla hata hamjafika morogoro tayari kitu kimeshaeleweka.ila tu jiandae kubeba jukumu la kumnunulia "tuvyakula" njiani.
we lazima,uchapiwe na dereva au konda...
ww mtoa maada mbona unaanza kunipa was was?
Mke wangu yupo safarin tangu juzi na gari liliwaharibikia njian ikabidi atafute gest alale ili kesho yake aendelee....
Hapo unataka kuniambia nn?