Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Last edited by a moderator:
Hahahaaaa jamani si ungepotezea tu mkuu.....lol
Haya unayoyasema (Transparency) yameshatuponza wengine, mliosalimika endeleeni kuwaficha, Nasema haya bila woga, anayebisha aendelee ataikumbuka hii post 1,3 or even 10 years to come!sasa unaficha, siku ukifa nani atarithi?
Na atajua unamiliki nini na nini na viko wapi?
Kama humuamini kiasi hiki bora nioe mie tu.
Bishanga jana nilikuwa mahali mida ya swala ya magharibi, nimekaa nje navuta kinywaji ghafla kaja mama kapaki gari lake kisha akatoka kachukua gari nyingine ambayo ilikuwa imepakiwa kwenye lot na nilipoingia niliikuta. ila alikuwa na ufunguo so hakuna aliyewaza chochote juu ya yule mama.
kumbe bana gari ile ni y mumewe na kuna wapashkuna wa jiji walimweleza juu ya uwepo wa mumewe pale kwenye ile hotel so alichukua funguo zaspea na kaondoka na gari na kuacha ya kwake bila funguo ili kumdhalilisha. sasa mumewe alipotoka ndipo alipofikir like kaja na gari ile na kuangalia funguo alizo nazo ni za gari nyingine so hawez kutoka na ile gari pale. yule baba alileta tafrani kwa walinzi wa hotel lakin aliposema kuwa hata hiia gari nyingine ni ya kwake basi akashauriwa atulie wanza aone mwisho wa mchezo.
jamani baada ya kama dk 45 hivi mkewe karudi na tax kujakufuata gari lol walizi wakamjia juu ndipo mumewe akaitwa kuja ni mkewe jamani sitaki kusema nilichoshuhudia yaani ni fedheha ya ajabu, mama alitembezewa kichapo ambacho kilikuwa hadharani niliumia sana nikasema hivi lini sisi wanawake tutabadilika?
halafu we konnie wewe ujue mwenzio nna presha mbaya.
Mapenzi kweli balaa, kumbe Kongosho kimahaba ni Konnie.Jina zuri eehn. wewe hata alichokifanya mke wako ni sahihi kabisa unaonekana player wa kuua mtu.
Umeolewa,una kazi nzuri,mme ni mfanyibiashara,mambo yake yamechanganya,nice house,gari,watoto shule za bei mbaya etc , lakini kila kukicha unahisi ana mahawara.The fact kwamba mmeo ni mhangaikaji kila wakati bize kwenye simu. Mume ana matatizo TRA,anayemsaidia ni mdada,anapigiwa simu wakati mko pamoja sebuleni,anapokea na kuongea na huyo mdada,mke anasikia sauti ya kike kwa mbali,presha inapanda inashuka.Anavizia mzee amekwenda toilet anachukua simu ya mmewe na kuscroll last number received,anai note,anai set simu yake kwenye sms na kumwandika mama wa watu ujumbe huu:
"Nani wewe unampigia simu mume wangu (anamtaja kwa jina),malaya mkubwa wewe,kwanza una ukimwi,mkome mme wangu...etc etc". Upande wa pili mama wa watu anapokea ujumbe huo wakati yeye ndo anahangaika kwa nia njema kumsaidia jamaa mambo yake ya kodi......just imagine,halafu ni mama mtu mzima ana heshima zake.
Yaani....nimechoka kabisa.
Pole sana Bishanga, insecurity hiyo punguza mazingira ya kutokuaminika! Wote mna role ya kuplay, wanawake tunataka kuwa reassured now n then; hiyo list ya material things lazima iwe complimented na mambo ya intimacy isiyo kuwa shared na third party!
Sina cha kumwambia huyo mwanamke coz hayupo hapa, uliepo ni wewe!
Hivi unafikiri wanawake hawana akili eeeh.. Au kwa sababu wanakaa kimya kwa kuwaogopa basi unajua hawaelewi kinachoendelea.
Mimi mke wangu hapokei simu yangu, wala mm sipokei yake, tunaaimiana, ila anasema siku ya kuja kumfuma huyo mwizi wa mali zake ndipo atakapoamua cha kufanya. Kwa kazi mm ni mfanyabishara yeye ni mtumishi wa umma, kila mtu ana wadau wake sasa mkianza wivu hapo huyu atamwaga ugali yule atamwaga mboga.
Hayo tena si maisha ya ndoa.
The secretary, wewe mbona unanificha mambo yako?Papaa Bishanga mutu mukubwa,mutu ya ndizi pole sana okusanga nini? mawasiliano muhimu katika ngazi yoyote ya mahusiano kufichaficha ishuu zako kumesababisha ahisi una mahawara