nosspass
JF-Expert Member
- Mar 7, 2013
- 5,819
- 4,796
WACHA fujo jamaa,,,katunge upya...Tokaaaaaa [emoji13]
WACHA fujo jamaa,,,katunge upya...Tokaaaaaa [emoji13]
Umeongea umemaliza. Na thread ifungwe tuuIvi kuna mwanamme atakayeona iyo kitu nabado akajishauri tena nikwa mke wake????
Alafu hii nayo nistori tu kwanza hamna mwanamke wa ivo.
Wacha waendelee kuchangia wenda antafuta kuambiwa...... ** kamfute tattoo then endelea naye**.Umeongea umemaliza. Na thread ifungwe tuu
hahahah malizia hizo 9 ukamilishe, nimesoma naona mapicha picha tu tattoo mbili za majina ambayo si ya mumeo jamani inawezekanaje story zingine waumize kichwa kidogo maana wanasimulia watu wazimaSasa msmimi30 unahisi hapo tunasemaje ,umesoma naww umeielewa vzuri ,hapo unaonaje ??
Alafu unajita Miss Mimi ..iyo 30 inamaanisha mtu akumis mara 30 kwa siku !! .....mimi nmeshakumis mara 21 mpaka kufikia muda huu.
Ndomaana sikutaka upite hapa ,maana ukishapita tuu hata ninavyokumis hivi utaona nafanya kazi bure .hahahah malizia hizo 9 ukamilishe, nimesoma naona mapicha picha tu tattoo mbili za majina ambayo si ya mumeo jamani inawezekanaje story zingine waumize kichwa kidogo maana wanasimulia watu wazima
[emoji22] Mimi huyo unaniambia hivyo.WACHA fujo jamaa,,,katunge upya...
Kuchepuka Sawa???? Why sawa?Hata mimi nimewaza, mke wa kuchora tatoo tena za wanaume wawili. Kuchepuka sawa lakini kwa mtindo huo mmh!
Sikumaanisha kuwa kuchepuka ni sawa. Story yake haina uhalisia, inawezekana ni kweli amechepuka lakini haiwezekani mke akachora tattoo za michepuko yake miwili. Haiingii akilini!Kuchepuka Sawa???? Why sawa?