Wanawake punguzeni ubabe

Vijana buana. .acha kumsaidia ujnga wa kujlaumu, mpe nguvu ya kuzidi kupambana na kutafuta ili ajipatie vyakwake. Lakini ni somo zuri sana kwa vijana wenzangu
 
Tatizo sio ubabe ila wanaume wengi siku hizi wanapenda kulelewa, mwanaume mzima na akili timamu utaongozwaje na akili ya mwanamke na umeambiwa wewe ni kichwa cha nyumba? Mnatakiwa kuwa strong kweli kweli kuongoza akili ya mwanamke wa sasa. Bila hivo mtaishia kulialia kila siku.
 
Mapito tu hayo maisha yatasonga tu
 
uzoefu unaonyesha kuwa ndoa ambayo mke ana pato kubwa kuliko mume haidumu na ikidumu inakuwa na migogoro mingi kwani kwa pato mke atataka amiliki nyumba na awe mwamuzi mkuu.
 
huyu bibie hakumpenda jamaa kiukweli... there is no way in a million years utafurahi kumuona mtu unaempenda akihangaika.. ila maskini akipata..........

maisha ya kuanzia chini kwenye mapenzi nayapenda sana though najaribu kupata picha kama mwanaume ndo angekua kafanya hivi ingekuaje! mpe pole muhusika, Mungu atamsaidia apate ujasiri wa kuanza 0 tena
 
uzoefu unaonyesha kuwa ndoa ambayo mke ana pato kubwa kuliko mume haidumu na ikidumu inakuwa na migogoro mingi kwani kwa pato mke atataka amiliki nyumba na awe mwamuzi mkuu.

sio kweli... napingana na wewe asilimia mia tano
 

Mhhh ... Hakika wanawake tuna sheeeda. Tumeoana wewe umeajiriwa mm nafanya biashara baada ya 2 years biashara imependeza imekuwa maradufu kumbe inakuwa imekula kwako Tized dahhhh sasa ulitaka nikifanya biashara isifanikiwe au? Kuna vitu vinakuwa judged in a very wrong way....
 
uzoefu unaonyesha kuwa ndoa ambayo mke ana pato kubwa kuliko mume haidumu na ikidumu inakuwa na migogoro mingi kwani kwa pato mke atataka amiliki nyumba na awe mwamuzi mkuu.
So what is your suggestion, conclusion and the way forward?
 
mpaka ufanyiwe ubabe na mwanamke huwezi kumu handle kabisa atakusumbua
 
DUUU, Siwezi kumlaumu sana mume, huenda aliamini maneno aliyoambiwa ''MMEKUWA MWILI MMOJA''. Suala la kuachana sioni tatizo, mke angefanya uungwana wa kumpa kianzio cha maisha.
 


Hakuna mwanaume mwenye uwezo wa kumuongoza mwanamke, wanawake wana hekima, ujanja na ulaghai. Mwanamke mara nyingi huamua kujishusha ili maisha yaende. Wanaume ni JASIRI uwanja wa vita lakini si ktk uwanja wa mapenzi.Kumbuka ya Samsoni na Delila au ya Adam na Eva na tunda la katikati.
 
Watu wengi wana underestimate 'power of a woman...'

Nadhani ni kwenye kujipa moyo...

Wewe umenifurahisha sana kwa kuwakumbusha...

 

Hayo maandiko yamewekwa ili ujifunze. Hadithi inatolewa unaulizwa umejifunza nini, siyo muhusika alifanya makosa basi wewe ukafanye tena yale makosa.

Kuwa kichwa cha nyumba ni pamoja na kuongoza familia yako. Kama ingekuwa haiwezekani basi maandiko yangesema mwanamke ni kichwa cha nyumba.

Hata hivyo kama mmekubali kuwa mko weak, sasa yanini kulialia? Wacha mpelekeshwe maana kujielewa ninyi bado. Kwa taarifa yako mwanamke ni kiumbe dhaifu.
 
Hiyo ni ndoa ya utotoni. Mwanaume alikuwa hajakomaa hata kuishi na mke ndio maana hata baada ya maisha kumshinda karudi nyumbani,
 
 
Sasa wewe umetoa details nyingi kiasi kwamba inakuwa rahisi sana kumjua huyo jamaa yako kama mtu akiamua kufuatilia. Jifunze kuficha ficha details.
 
Sasa wewe umetoa details nyingi kiasi kwamba inakuwa rahisi sana kumjua huyo jamaa yako kama mtu akiamua kufuatilia. Jifunze kuficha ficha details.

Mkuu hizo details nilizotoa ni za kawaida, bado nimeficha mambo mengi kama sehemu aliyokuwa anakaa na mkewe,kampuni aliyowahi kuajiriwa na nyingine nyingi.
 

Mkuu mwambia Frendi wako wala asishtuke, sialiwahi kufanya ile biashara...hivyo afungue "the same bizness(trade) ili awe competitor wa Ex-wife, I am sure atamshinda na kumaliza kibiashara!!! just give a try !! or pM me..
 
msweet simaanishi ivyo!!! Nachokijua ni kuwa inahitajika juhudi binafsi sana kuweza kuzuia mafanikio yasikubadilishe... na haswa kwa wadada. Kuendelea kuwa mnyenyekevu na msikivu kwa mtu uliempita kila kitu ni NEEMA na kujitambua kwa hali ya juu sana na utambuzi kuwa mali na vyoote ni vikorombwezo tu.

Wanawake walio wengi ni rahisi kuwa influenced haswa wale wasio na utambuzi mzuri kinachopelekea baada ya kufanikiwa anaanza kuabudu alivyonavyo na mume hapo anakuwa ni ziada tu tena anaonekana msumbufu flani hivi na ana visheria sheria vya nini bhana wakati nikiwa mwenyewe naweza jihudumia kwa kila kitu na kwa chochote na kwa uhuru wote.... sijui kama naeleweka piacha nayoleta apa..

Inahitaji juhudi binafsi kuendelea kuwa wewe wakati wa mafanikio.

 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…