Nkungulume
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 2,988
- 1,208
Wanafanya kwa akina wanawake tu au na akina babaKama unaweza kustahmili kiduchu basi fanya waxing ya sukari mwanzo utahisi inauma lakini ukisha zowea haiumi,ila nywele zina chelewa kuota wanafanya dar kuna saloon nyingi au kuna wadada wanakuja nyumbani kukufanyia kama unataka.