KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Nimegundua wanaume wengi tuingiapo ktk mahusiano mapya mara nyingi hutumia kondom lakini ikishafika wiki nakuendele ujiripua!!Na hata saa nyingine hutumia kondom Bao la kwanza yanayofuata ujiripua!!Wito kwa wanawake mnaweza kutulazimisha mda wote tukatumia Kondom!!Hata hivyo nanyinyi hamzipendi kwenye majamboz eti ampati raha!!!