Wanawake njooni mtupe experience kidogo!

Wanawake njooni mtupe experience kidogo!

Nataka nisikie umeukubali wimbo wa fid Q na Roza ree nikupigie saluti.
1.Katika sheria kukaa kimya nafikiri inamanisha ni hapana/kukataa....japo kuna some excemptions so the option ni wewe kukaa kimya kama yeye ama kuendeleza jitihada za kumtext na kumpigia hadi utakapoona umechoka

2.Kuhusu kutozwa kodi hapo ni suala ambalo ni inevitable kwasababu uko na mission ya kumteka huyo unayemtaka so utalipa kodi hadi amalize kukufikiria

3.Hii ya tatu nafikiri huwa tunamaanisha hii nyimbo hapo chini

 
Naagiza muda huu mkuu

Naomba na Asprin aagize k vant hata mbili
Kabla sijaagiza naomba wasifu wa mtoa ofa. Unajua nakujali sana na sipendi wakulagai...

Ni afadhali nikuoe mwenyewe kuliko upotee njia
 
1.Katika sheria kukaa kimya nafikiri inamanisha ni hapana/kukataa....japo kuna some excemptions so the option ni wewe kukaa kimya kama yeye ama kuendeleza jitihada za kumtext na kumpigia hadi utakapoona umechoka

2.Kuhusu kutozwa kodi hapo ni suala ambalo ni inevitable kwasababu uko na mission ya kumteka huyo unayemtaka so utalipa kodi hadi amalize kukufikiria

3.Hii ya tatu nafikiri huwa tunamaanisha hii nyimbo hapo chini


Haya matirio ya kukamatia PhD ya ubanguaji korosho sijakufundisha mimi. Leo utaniambia kama unaenda twisheni na nani kakulipia twishen fiiz.
 
Kabla sijaagiza naomba wasifu wa mtoa ofa. Unajua nakujali sana na sipendi wakulagai...

Ni afadhali nikuoe mwenyewe kuliko upotee njia

😂😂😂😂😂
We mzee bhana!
 
Haya matirio ya kukamatia PhD ya ubanguaji korosho sijakufundisha mimi. Leo utaniambia kama unaenda twisheni na nani kakulipia twishen fiiz.

Si wewe ndio ulinipeleka twisheni ,umesahau?😅
 
Wakati anakuzungusha hivi , kwamba wewe huoni wanawake wengine?

Msipende kujipa shida za kujitakia! Na mara nyingi wenye hiyo tabia ni wenye matatizo kimahusiano au anao wengi.

Ke aliye kwenye mahusiano mazuri anakuchana mapema tu. Anakubali au atakataa, na hawezi kukupa hata siku tatu.
Kuna maswali huwa yananitatiza kidogo kuhusu kumtongoza mwanamke!
1:unapoanza kumtongoza mwanamke wengine wana tabia ya kutokujibu sms kwa wakati,ama asijibu kabisa ama akawa ana ignore Simu zako n.k huwa mnamaanisha nini!?Kama hutaki si unasema sitaki!!!
2:kuna wengine eti ngoja nikufikirie!wakati huu huo anataka kukutoza kodi za TRA,huwa mnamaanisha nini!?
3:Wengine Mara bado mapema wakati still ni muda umepita analeta hadithi njoo uongo njoo tamkolea!huwa mnamaanisha nini!?
Mwanamke ukibali haraka ama uchelewe kukubali haibadilishi kitu kama wewe ni Kicheche
Wanawake njooni mtoe ushuhuda hapa!
 
Ni kweli kabisa inatakiwa tukubali harakaharaka
 
Mara nyingi wale wakubwa kuanzia 30+ hawasumbui
Umenikumbusha mbali sana mkuu!!!

Kuna jamaa yangu yeye alishajiwekea maamuzi kwamba hawezi kutongoza mwanamke ambaye ni under 30 labda kwa bahati mbaya ama kwa kutojua age yake.
 
Back
Top Bottom