Wanawake njooni mtupe experience kidogo!

Wanawake njooni mtupe experience kidogo!

Muuza simu used

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2017
Posts
4,393
Reaction score
7,107
Kuna maswali huwa yananitatiza kidogo kuhusu kumtongoza mwanamke!
1:unapoanza kumtongoza mwanamke wengine wana tabia ya kutokujibu sms kwa wakati,ama asijibu kabisa ama akawa ana ignore Simu zako n.k huwa mnamaanisha nini!?Kama hutaki si unasema sitaki!!!
2:kuna wengine eti ngoja nikufikirie!wakati huu huo anataka kukutoza kodi za TRA,huwa mnamaanisha nini!?
3:Wengine Mara bado mapema wakati still ni muda umepita analeta hadithi njoo uongo njoo tamkolea!huwa mnamaanisha nini!?
Mwanamke ukibali haraka ama uchelewe kukubali haibadilishi kitu kama wewe ni Kicheche
Wanawake njooni mtoe ushuhuda hapa!
 
1.Katika sheria kukaa kimya nafikiri inamanisha ni hapana/kukataa....japo kuna some excemptions so the option ni wewe kukaa kimya kama yeye ama kuendeleza jitihada za kumtext na kumpigia hadi utakapoona umechoka

2.Kuhusu kutozwa kodi hapo ni suala ambalo ni inevitable kwasababu uko na mission ya kumteka huyo unayemtaka so utalipa kodi hadi amalize kukufikiria

3.Hii ya tatu nafikiri huwa tunamaanisha hii nyimbo hapo chini

 
1.Katika sheria kukaa kimya nafikiri inamanisha ni hapana/kukataa....japo kuna some excemptions so the option ni wewe kukaa kimya kama yeye ama kuendeleza jitihada za kumtext na kumpigia hadi utakapoona umechoka

2.Kuhusu kutozwa kodi hapo ni suala ambalo ni innevitable kwasababu uko na mission ya kumteka huyo unayemtaka so utalipa kodi hadi amalize kukufikiria

3.Hii ya tatu nafikiri huwa tunamaanisha hii nyimbo hapo chini

Agiza kinywaji tafadhali! Umetisha sana mkuu
 
Kuna maswali huwa yananitatiza kidogo kuhusu kumtongoza mwanamke!
1:unapoanza kumtongoza mwanamke wengine wana tabia ya kutokujibu sms kwa wakati,ama asijibu kabisa ama akawa ana ignore Simu zako n.k huwa mnamaanisha nini!?Kama hutaki si unasema sitaki!!!
2:kuna wengine eti ngoja nikufikirie!wakati huu huo anataka kukutoza kodi za TRA,huwa mnamaanisha nini!?
3:Wengine Mara bado mapema wakati still ni muda umepita analeta hadithi njoo uongo njoo tamkolea!huwa mnamaanisha nini!?
Mwanamke ukibali haraka ama uchelewe kukubali haibadilishi kitu kama wewe ni Kicheche
Wanawake njooni mtoe ushuhuda hapa!
Mkuu hao watu akili zao wanazijua wenyewe.

Hujawahi kuona mwanamke anamkataa mwanamme wa 'maana' anachagua 'kituko'!?
 
Nakumbuka ilinitokea hiyo ya namba 1 na nilikuwa na nia naye ya dhati. Ndani ya wiki mbili tu hali ilinishinda nikapiga chini na namba ya simu nilifuta nikaendelea na purukushani zangu za maisha.
 
Hahaaa!piga Simu piga na wewe!
Nakumbuka ilinitokea hiyo ya namba 1 na nilikuwa na nia naye ya dhati. Ndani ya wiki mbili tu hali ilinishinda nikapiga chini na namba ya simu nilifuta nikaendelea na purukushani zangu za maisha.
 
Back
Top Bottom