Hapo kwenye turumba nakazia hapo, muhimu sana hapo, na ukipigwa turumba vizuri usishee na mashosti, utaibiwa mume.Tatizo mnatuchukuliaga kwamba tupo very complicated wakati sivyo.
Mwanamme asimame kama mwanamme, abebe majukumu ya familia kwa maana ya kutimiza mahitaji ya familia.
Amheshimu na kumjali mke wake kwa hali na mali. Kumpa company na sio ya kumchungulia kyupi tuuu. Na aiangalie familia ya wakwe kama anavyoangalia ya wazazi wake pia. Kushauriqna katika masuala ya kifamilia.
Kuwa mwalimu ama kiongozi wa mke wake pale anapoona amekosea step. Kumfundisha mambo mapya mfano siasa, ama kukaa nae kuangalia mpira kumfundisha rules etc.
Kumpiga turumba. Hili neno turumba mara ya kwanza na mwisho nililisikia kwa baba yangu fundi magari wakati navunja ungo. Hakukaa akaremba maneno yake. Alituambia tu pigweni turumba weee mpaka ifuke moshi. Nilipokuwa ndo nilielewa. So ndugu msomaji, mpige mkeo turumba weeeee ndo miongoni mwa yanayotakiwa katika ndoa.
Kuna pombe na ufuska mwingine unaojua ila sidhani kama utakuwepo mpaka leo nina miaka kama mitatu sijafika hayo maeneoHahaaaa.
Lina nini nikajionee?
Andika bwana acha uvivuNiliandika kujibu yote ndefu ilikuwa napost siioni.
Aisee kuandika tena ni ishu mkuu wangu.
Mie mzima mama... Sema nimevamiwa na uvivu hapaNitaedit, nitakutag bibie umzima lakini?
Mm,napenda Yule tutakayeendana,,,,it's mean kupendana,,kuheshimiana,,,kusikilizana..Then anitreat Kwa kunidekeza na kunicare .Pia awe na hofu ya MUNGU
Sent using Jamii Forums mobile app
Turumba au Barumba?duh umenikumbusha chimbo moja linaitwa Tururamba lipo karibu na Law School Sinza/Sim2000. Chimbo moja hatari sana lile sijui kama bado lipo
Wanawake hawaeleweki shetani mwenyewe anawajua, hapa wataandika mengi lakini kumbe ni kinyume na yaliyomo kwenye mioyo yao[emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
"ᴬᵐᵇⁱᵗⁱᵒⁿ ᶜᵃⁿ ᵇᵉ ᵃ ᵛⁱʳᵗᵘᵉ ʷʰᵉⁿ ⁱᵗ ᵈʳⁱᵛᵉˢ ᵘˢ ᵗᵒ ᵉˣᶜᵉˡˡ"
Mbona ulikuja hapa ukaaminisha wana Jf kuwa wewe ni wife material!?[emoji23] kumbe maharage ya mbeya yanaiva hata kwa kuanika juaniNikiamua kuchepuka hata unipe ikulu haunizuii....
Akili yangu naijua mwenyewe.... cha muhimu hakikisha nakuheshimu ila nyegee zikipanda navua tuu hata unipe mbingu......
Don’t bother....